Ochumeraa
JF-Expert Member
- May 18, 2015
- 4,504
- 5,707
- Thread starter
- #81
Habari yako mkuu, hii miradi ya Viwanja huwa inachukuliwa na kampuni tofauti tofauti ambapo kila kampuni huwa inauza Kwa bei yake ili ipate faida,ambapo Kwa kampuni yetu Kwa maeneo ya Kisota SQM 1 tunauza 50,000/=....Karibu sanaNimeingia kwenye hiyo link mbona kiwanja ni 15,000,000 i.e million kumi na Tano na ni sqm 400 ambayo ni Sawa na 37,500 per sqmView attachment 2217870