Aisee naweza pata cha sqm 400 ambacho kipo karibu na roadPROPERTY INVESTMENT COMPANY LTD. Inakuletea mradi mpya wa Viwanja katika jiji la Dodoma eneo la KITELELA:
✓Ni Viwanja vizuri na vya kuvutia Kwa ajili ya makazi,biashara na viwanda vidogo vidogo
✓Vipo jirani kabisa na eneo la airport mpya Msalato.
✓Viwanja vimepimwa na vina hati.
✓Bei yetu ni 3,500@1 sqm
✓Malipo ni kwa cash au utalipa kwa awamu ya kipindi cha miezi miwili hadi mitatu.
✓Kutembelea site ni kila siku na ni bure kabisa hamna gharama yoyote.
✓Tuna miradi mingine maeneo ya Nala, Chamwino, Chahwa, Mtumba, Ihumwa, Iyumbu, Itega, Mahoma Makulu, na Kwa Dar es Salaam Tuna miradi ya Viwanja maeneo ya Bunju, Madale, Kisota,Cheka,Mbutu, Vikawe Misugusugu, Mwasonga, Pangani.
✓Kwa Mawasiliano zaidi Call/SMS/WhatsApp: 0712156900..
✓Ofisi zetu Kwa Dar es Salaam zinapatikana Nyuma ya Ubungo plaza, na Kwa Dodoma tupo Capital City Mall.
KARIBUNI SANAView attachment 2192636
Details pls✓Tuna miradi ya Viwanja vingine maeneo ya Bunju,
Kibaha maili moja mnavyo?Viwanja hivi vinapatikana Kibaha Mkoa wa Pwani:
✓Ni Viwanja vizuri na vya kuvutia Kwa ajili ya makazi.
✓Vipo karibu na check point (Ofisi za wakala wa vipimo)
✓Vipo umbali wa 500m kutoka Main Road.
✓Viwanja vimepimwa na vina hati.
✓Bei yake ni 9000@1sqm.
✓Vipo vya ukubwa mbalimbali.
✓Malipo utaanza na 50% kama kianzio kisha utamalizia kiasi kilichobaki ndani ya muda wa miezi 6.
✓Kutembelea site ni kila siku na ni bure kabisa.
✓Tuna miradi ya Viwanja vingine maeneo ya Bunju, Madale, Kisota, Cheka, Bunju A, Mwasonga, Mbutu.
Call/SMS/WhatsApp: 0712156900
View attachment 2195114
👇👇👇Mradi wa wapi nikupe maelezo yake Boss.
✓Tuna miradi ya Viwanja vingine maeneo ya Bunju