Plot4Sale Special Thread: Tunauza Viwanja maeneo mbalimbali

Viwanja Vinauzwa Madale Mivumoni, karibu ujipatie chako mapema:

✓Ni Viwanja vizuri na vya kuvutia Kwa ajili ya makazi.
✓Viwanja vipo karibu na shule ya Atlas.
✓Vipo Umbali wa 1.5 km kutoka Main road.
✓Vimebaki vichache vya 539 SQM, 506 SQM, 511 SQM na 605 SQM....
✓Viwanja vimepimwa na vina hati.
✓Bei yake ni 37,000@1sqm
✓Malipo utaanza na 50% kama kianzio kisha utamalizia kiasi kilichobaki ndani ya muda wa miezi 6.
✓Kutembelea site ni kila siku na ni bure kabisa.
✓Tuna miradi mingine ya Viwanja maeneo ya Bunju, Kisota,Cheka,Mbutu, Vikawe Misugusugu, Mwasonga, na Kwa Dodoma maeneo ya Kitelela, Nala, Chamwino, Chahwa, Mtumba, Ihumwa, Iyumbu, Itega, Mahoma Makulu.
✓Kwa Mawasiliano zaidi Call/SMS/WhatsApp: 0712156900..
Ofisi zetu Kwa Dar es Salaam zinapatikana Nyuma ya Ubungo plaza, na Kwa Dodoma tupo Capital City Mall.
KARIBUNI SANAView attachment 2196204View attachment 2196205View attachment 2196206

Ongeza picha mzee baba, hii uliyoweka ni kama unauza huo mgomba
 
PROPERTY INVESTMENT COMPANY LTD. Inakuletea mradi wa Viwanja maeneo ya Cheka Kigamboni:

✓Ni Viwanja vizuri na vya kuvutia Kwa ajili ya makazi.
✓Vipo umbali wa Kilometres 3 kutokea barabara ya Rami.
✓Viwanja vimepimwa na vina hati.
✓Bei yake ni 15,000@1sqm
✓ Vipo vya ukubwa mbalimbali kuanzia 277sqm Hadi 556sqm
✓Malipo unaweza lipa cash au Kwa installment.
✓Kutembelea site ni kila siku na ni bure kabisa.
✓Tuna miradi ya Viwanja vingine maeneo ya Bunju, Madale, Kisota,Pangani Kibaha, ,Mbutu, Vikawe Misugusugu, Mwasonga, na Kwa Dodoma maeneo ya Kitelela, Nala, Chamwino, Chahwa, Mtumba, Ihumwa, Iyumbu, Itega, Mahoma Makulu.
✓Kwa Mawasiliano zaidi Call/SMS/WhatsApp: 0712156900..
Ofisi zetu Kwa Dar es Salaam zinapatika Nyuma ya Ubungo plaza, na Kwa Dodoma tupo Capital City Mall.

KARIBUNI SANA


IMG_20220421_204537.jpg
 
👇👇👇
Ok Mkuu nimekuelewa, hivyo
✓Viwanja vinapatikana Bunju A
✓Vipo umbali wa Kilometres 5 kutoka main road.
✓Bei yake ni 8000@1sqm na kuna baadhi ambavyo ni vipya hivyo bei yake 45,000@1sqm.
✓Kufika kwenye hivyo Viwanja unashuka Bunju shule au unaweza pitia Bunju B,maana mradi ni mkubwa
✓ Kutembelea site ni kila siku na hakuna gharama yoyote.
✓Call/SMS/WhatsApp: 0712156900
 
Kibaha maili moja mnavyo?
Tunavyo eneo linaitwa PANGANI
✓Vipo Njia panda ya Bagamoyo karibu na jengo la NIDA.
✓Vippo karibu na soko la loliondo.
✓Vipo karibu na stand kuu ya mabus ya maili moja.
✓Vipo Umbali wa 2.5 km kutoka Morogoro road.
✓Vipo karibu na barabara inayounganisha KIBAHA na VIKAWE
✓ Bei yake ni 9000@1sqm
✓Malipo utaanza na 50% kama kianzio kisha utamalizia kiasi kilichobaki ndani ya muda wa miezi 6.
✓Kutembelea site ni kila siku na ni bure hamna gharama yoyote.
✓Call/SMS/WhatsApp: 0712156900
Karibu Sana
 
Mkuu nataka kiwanja Itega Dodoma kama sqm 1500 mpaka 2000. Kwa uzoefu wako inaweza kuwa bei gani?
 
Mkuu nataka kiwanja Itega Dodoma kama sqm 1500 mpaka 2000. Kwa uzoefu wako inaweza kuwa bei gani?
Itega Tunavyo Ila vimetengwa Kwa ajili ya ujenzi wa magorofa,ambapo bei yake ni kuanzia Million 35 na kuendelea...Ukiachana na Itega tuna Viwanja maeneo mengine Kwa matumizi ya kawaida:
✓Kitelela
✓Nala
✓Chamwino
✓Chahwa
✓Mtumba
✓Ihumwa
✓Iyumbu
✓Mahoma Makulu
Call/SMS/WhatsApp: 0712156900
 
PROPERTY INVESTMENT COMPANY (PIC) DODOMA PLOTS PROJECT:

*KITELELA PLOTS PROJECT (New Project)
✓Viwanja vizuri kwa ajili ya makazi, biashara na viwanda vidogo vidogo, Bila kusahau huduma zote za kijamii maji, umeme na barabara zipo site.
✓Vipo pembezoni mwa barabara inayoelekea Arusha.
✓ Vipo Umbali wa 15 km kutoka city Centre.
✓Bei yetu ni 3,500@1 sqms na malipoyetu ni kwa cash au utalipa kwa awamu.



*NALA PROJECT (CHIHONI)
✓Viwanja hivi vipo 2kms kutoka Singida road.
✓Vipo karibu na mzani
✓Pia vipo karibu na chuo cha DECOHAS
✓Bei yetu ni 6000@1sqm, na utalipa 50% kama kianzio kisha utamalizia kiasi kilichobaki ndani ya muda wa miezi 6.



*CHAMWINO IKULU (DODOMA)
✓Viwanja vipo 2 km kutoka barabara inayoelekea Dar.
✓Viwanja vipo upande wa Chamwino Halmashauri.
✓Bei yetu ni 6000@1 sqm na utalipa 50% kama kianzio kisha utamalizia kiasi kilichobaki ndani ya muda wa miezi 6
✓Viwanja vyetu vimepimwa na vina hati.



*CHAHWA
✓Viwanja hivi vipo nyuma ya ukuta wa ikulu, 1 Kilometre 1 kutoka unapoishia ukuta wa ikulu.
✓Vipo 4 km kutoka barabara ya Morogoro.
✓Bei yetu ni 6000@1 sqm na utalipa 50% kama kianzio kisha utamalizia kiasi kilichobaki ndani ya muda wa miezi 6



*MTUMBA (MJI WA SERIKALI)
✓Viwanja vyetu vipo 2 km kutoka mji wa serikali.
✓Bei yetu ni 8000@1 sqm
✓Malipo ni 50% kama kianzio kisha utamalizia kiasi kilichobaki ndani ya muda wa miezi 6.



*IHUMWA
✓Viwanja hivi vipo 12 km kutoka City Centre.
✓Vipo karibu na soko kuu la Job Ndugai.
✓Vipo karibu na stand kuu ya mabasi ya Nanenane.
✓Kuna ambavyo vipo 1 km na vingine 5 km kutoka barabara ya Morogoro.
✓Bei yetu ni 15,000@1 sqm, malipo ni cash au unaweza kulipia Kwa awamu.



*IYUMBU
✓Hivi Vipo barabara ya chuo cha UDOM
✓Kuna ambavyo vipo karibu na maghorofa ya NHC ambavyo ni Medium density bei yake ni 10,000 – 13,000@1 sgm.
✓Iyumbu West bei yake ni 15,000@1 sqm
✓Malipo ni cash au Kwa awamu.



*ITEGA (DODOMA)
✓Vipo 3 – 4 km kutoka City Centre.
✓Eneo hili limetengwa kwa ajili ya maghorofa tu.
✓Bei yake ni kuanzia Millioni 35 na kuendelea.
Malipo ni cash au unalipia kwa awamu.


NB:

*Viwanja vimepimwa na vina hati.
*Site visit ni kila siku.
*Call/SMS/WhatsApp: 0712156900
 
Viwanja Vinauzwa Bunju A
Viwanja vizuri na vya kuvutia Kwa ajili ya makazi.
Vippo karibu na hospital ya wilaya.
Vipo karibu na shule ya secondary ya wasichana Mabwe girls.
Vipo Umbali wa 5 km kutoka main road.
Viwanja vimepimwa na vina hati.
Bei ni 25,000@1sqm
Malipo ni cash au Kwa awamu.
Kutembelea site ni kila siku na ni bure kabisa.
Tuna miradi ya Viwanja vingine maeneo ya Pangani Kibaha, Madale, Kisota,Cheka,Mbutu, Vikawe Misugusugu, Mwasonga, na Kwa Dodoma maeneo ya Kitelela, Nala, Chamwino, Chahwa, Mtumba, Ihumwa, Iyumbu, Itega, Mahoma Makulu.
Call/SMS/WhatsApp:0712156900
KARIBUNI SANAView attachment 2202119View attachment 2202120
IMG-20220427-WA0001.jpg
 
Hii imekaaje?

February mwaka huu bei ilikuwa 15,000/sqm.

Leo bei imepanda hadi 50,000/sqm kwa eneo hilohilo?

Nimeingia kwenye hiyo link mbona kiwanja ni 15,000,000 i.e million kumi na Tano na ni sqm 400 ambayo ni Sawa na 37,500 per sqm
Screenshot_20220509_130322_com.android.chrome.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom