LpllPumbavu
Viwanja bei chee vinauzwa Chanika vipimo mita 15 kwa mita 16 Viwanja vina barabara za mitaa bei Milioni moja na laki tano unaweza ukalipa kwa instalments kwa mawasiliano nicheck 0718239997![]()
Wapi huko 250000 heka /shamba?Du 15*16 kwa 1.5M. Wakati Mkoani heka /shamba 250k. Ungese gani huu. Bakini na dar yenu. Ndo unakuta watu wamejenga hata hawana pa kupumulia full uswazi.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] bei imeshuka!!? Ikipungua tena nitag plzViwanja bado vipo bei Milioni moja
Chanika gani hyoooViwanja bei chee vinauzwa Chanika vipimo mita 15 kwa mita 16 Viwanja vina barabara za mitaa bei Milioni moja na laki tano unaweza ukalipa kwa instalments kwa mawasiliano nicheck 0718239997![]()
[emoji16][emoji16][emoji16] huko ni kijijini bro. Hata njia za kufika ni mtihani. Niliwai kwenda na private, miundombinu bado sana. Network ipo chini kama sio hakuna kabisa sehemu nyingine.Hivi kwanini raia hawataki kununua viwanja chanika japo cheap?
😂😂😂😂😂 aisee kumbe ndio maana viwanja hadi million moja ila watu hawaendi![emoji16][emoji16][emoji16] huko ni kijijini bro. Hata njia za kufika ni mtihani. Niliwai kwenda na private, miundombinu bado sana. Network ipo chini kama sio hakuna kabisa sehemu nyingine.
Umeme kuna solar tu huko
Uswahili mwingi, ushirikina, fujo za vigoma vya kumtoa mwali na kila aina ya ushenzi wa kizaramo. Kifupi kwa mpambanaji hapamfai, hakuna ustaarabu.Hivi kwanini raia hawataki kununua viwanja chanika japo cheap?
Dah kama kuna ushirikina hapafai kwa kweli, sio pa kwenda kabisa.Uswahili mwingi, ushirikina, fujo za vigoma vya kumtoa mwali na kila aina ya ushenzi wa kizaramo. Kifupi kwa mpambanaji hapamfai, hakuna ustaarabu.
Mkeo mtarajiwa ndio naishi huko, hutakuja?Dah kama kuna ushirikina hapafai kwa kweli, sio pa kwenda kabisa.
Kuhusu uswahili ni kweli ila umeme upoUswahili mwingi, ushirikina, fujo za vigoma vya kumtoa mwali na kila aina ya ushenzi wa kizaramo. Kifupi kwa mpambanaji hapamfai, hakuna ustaarabu.
Aisee natafuta ground walau iwe karibu na mjini mpenzi ila sasa vyote vizuri navyoona viko zaidi ya 22kms toka City centre. Nikawaza nichungulie huko Chanika maana ni almost 15kms toka mjini. Hata zikiwa zaidi ila zisifike 20kms ila kwa hizo story za ushirikina aisee aheri niende mbali zaidi. Sihitaji kabisa maswala ya kurogana na mawivu ya kiswahili.Mkeo mtarajiwa ndio naishi huko, hutakuja?