Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,402
- 191,522
Asee sasa una survive vipi mlimbwende wangu, au na wewe una uwezo wa Chief-Mkwawa kidogo unakulinda linda?Kuhusu uswahili ni kweli ila umeme upo
"Surviving Chanika"
Asee sasa una survive vipi mlimbwende wangu, au na wewe una uwezo wa Chief-Mkwawa kidogo unakulinda linda?Kuhusu uswahili ni kweli ila umeme upo
Unapenda mjini kufanya nini aisee usafiri si upoAisee natafuta ground walau iwe karibu na mjini mpenzi ila sasa vyote vizuri navyoona viko zaidi ya 22kms toka City centre. Nikawaza nichungulie huko Chanika maana ni almost 15kms toka mjini. Hata zikiwa zaidi ila zisifike 20kms ila kwa hizo story za ushirikina aisee aheri niende mbali zaidi. Sihitaji kabisa maswala ya kurogana na mawivu ya kiswahili.
Asee sasa una survive vipi mlimbwende wangu, au na wewe una uwezo wa Chief-Mkwawa kidogo unakulinda linda?
"Surviving Chanika"
Yeah usafiri upo ila sasa muda mwingi kuutumia barabarani inakuwa tatizo mchumba!Unapenda mjini kufanya nini aisee usafiri si upo
Lini nije untembeze huko?Hahaha mimi si mkazi wa kudumu ila sio kubaya bwana
Kutoka Chanika hadi mjini hayazidi masaa mawili mbona kitu cha kawaida tu mpenzi halafu siku hizi hakuna foleni sanaYeah usafiri upo ila sasa muda mwingi kuutumia barabarani inakuwa tatizo mchumba!
AnytimeLini nije untembeze huko?
Kulogwa mama, naogopa sana hayo madude walichomfanyia ndugu yangu sina hamu.Kutoka Chanika hadi mjini hayazidi masaa mawili mbona kitu cha kawaida tu mpenzi halafu siku hizi hakuna foleni sana
Poa, itabidi tu arrange meeting soon!Anytime
We mshike vizuri Mungu wako hakuna uchawi utapenyaKulogwa mama, naogopa sana hayo madude walichomfanyia ndugu yangu sina hamu.
Poa, itabidi tu arrange meeting soon!
Owkay mupenziWe mshike vizuri Mungu wako hakuna uchawi utapenya
Tatizo kule kuna bado zile jamii za asili,Zaramo's Wandengereko na Wamakonde wakuzaliwa.ogopa sana kukaa katikati ya jamii iliyozoea ukipata 5K wewe maisha umeshayamaliza wakikuona una mipango ya miaka 10 mbele hawapendi ndo zinapoanza hizi vurugu za kulogana logana hovyo na kukuonyesha roho mbaya.Uswahili mwingi, ushirikina, fujo za vigoma vya kumtoa mwali na kila aina ya ushenzi wa kizaramo. Kifupi kwa mpambanaji hapamfai, hakuna ustaarabu.
Uko sahihi kabisa, kwa kijana mwenye mipango endelevu siwezi kumshauri akaishi chanika.Tatizo kule kuna bado zile jamii za asili,Zaramo's Wandengereko na Wamakonde wakuzaliwa.ogopa sana kukaa katikati ya jamii iliyozoea ukipata 5K wewe maisha umeshayamaliza wakikuona una mipango ya miaka 10 mbele hawapendi ndo zinapoanza hizi vurugu za kulogana logana hovyo na kukuonyesha roho mbaya.
Kule hukuti nyumba za blocks {labda kwa sasa kwa sababu wageni wameanza kuenea} ni za tembe na udongo halafu hazizidi vyumba vitatu.
We jamaa sijajua unaongelea chanika ya mwaka gani hapa!??Tatizo kule kuna bado zile jamii za asili,Zaramo's Wandengereko na Wamakonde wakuzaliwa.ogopa sana kukaa katikati ya jamii iliyozoea ukipata 5K wewe maisha umeshayamaliza wakikuona una mipango ya miaka 10 mbele hawapendi ndo zinapoanza hizi vurugu za kulogana logana hovyo na kukuonyesha roho mbaya.
Kule hukuti nyumba za blocks {labda kwa sasa kwa sababu wageni wameanza kuenea} ni za tembe na udongo halafu hazizidi vyumba vitatu.
Ulifika huko mwaka gani mkuu?[emoji16][emoji16][emoji16] huko ni kijijini bro. Hata njia za kufika ni mtihani. Niliwai kwenda na private, miundombinu bado sana. Network ipo chini kama sio hakuna kabisa sehemu nyingine.
Umeme kuna solar tu huko
Bro sijasema hazipo angalia paragraph ya mwisho soma nilichokiandika kwenye mabano.We jamaa sijajua unaongelea chanika ya mwaka gani hapa!??
Kuna mijumba ya hatari kabisa kwa sasa hadi mawaziri wanaishi huko