hahaaaa. long after you said this nimewasikia na wachambuzi hapa wanasema di maria wakati anaumia was running like a headless chicken.Di Maria mchezaji mzuri sana isipokuwa huwa anapoteza sana mipira na anakimbia kama kuku aliyekatwa kichwa...
Kwa kasi yake ile alipaswa awe winga mkali kama Overmars, Robben, Giggs, Bale (wa Tottenham)...
Mwenye nguvu na achukue Kombe.....
Khe khe kheeeeeeeeeeee, linabaki Chile
Hapa leo ET
Chile wamerudi na nguvu zaidi lakini watatulia tu......
hahaaaa. long after you said this nimewasikia na wachambuzi hapa wanasema di maria wakati anaumia was running like a headless chicken.
Mbona mnapiga buti kiasi hicho banaaa
Ndiyo wanaondoka hivyo taratibu, watatupia goli mbili za haraka haraka sasa hivi usikimbie tu kwenda kulala.
Hiyo kesi mnatuuzia ninyi ndo wataalamu wa buti. ........
Hivi nyie au tunaangalia Mpira tofauti nini???
Hapana, siye tunatandaza soka buti si jadi yetu labda umetufananisha.
Subili argentina apigwe kimoko tu kama cha nguruwe, ndo utajua kama tunaangalia mpira mmja au lah
Hahaha!! Hakuna watu wahuni kama Chile vidole vya usoni wao vidole vya ikulu wao, mabuti wao, Matusi wao na bado na kubebwa Juu!!!!!