Special Thread, COPA America 2015

Cacerez...

Kapataaaa...hawa Waparaguay wanapiga mawe
 
Kwisha habari yani Costa alivyosita nikajua ndo basi tena
 
Coutinho...

Anapata...

Paraguay wanatakiwa wapate penati ya mwisho wapite
 
Inauma aiseee!!! Sikia kesho lawama kwa Neymar zitakavyomwangukia......dah!!! Utamu utapungua.....Brazil huwa wanaleta amsha amsha Fulani......
 
Pole nilijua tu Brazil anaaga leo...

Hawakustahili kupita leo...

Na wangepita wangepigwa nyingi sana na Argentina

Asante.....Karata yangu ya pekee imebaki kwa Argentina hope hawataniangusha.......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…