Don't say this pleaseeeeeeee
Hehe kausha bro, hizi chances zinaogopesha.
dah, nimeiona highlight moja insta akifanya saving ya kichwa cha pimbi
Hivi Coach wa Colombia si mu-Argentina? Ana uzalendo wa team DavidoTz huyu, si bure.
Tunaenda kwenye penati na hapa ndipo mwenye bahati anapita...
Kwa leo mwenye bahati ni Colombia maana haiingii akilini kuwa Argentina kakosa magoli yote yale...
Nawaonea huruma Argentina...