everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,628
- 15,032
Hahaha, Hapana sijaiona
Ohh!! SAA ingine uwe una mingle na watoto utakosa mambo mazuri, siku ukiwa fresh search YouTube uicheki umuone kirikuu mwenyewe anafananaje na mambo yake yalivyo.
Hahaha, Hapana sijaiona
Kweli aisee, watoto washkaji zangu sana, sema wanawajua kina Phineas & Co tu. Ngoja nimtafute tena saivi, hilo jina tu ni burudani.Ohh!! SAA ingine uwe una mingle na watoto utakosa mambo mazuri, siku ukiwa fresh search YouTube uicheki umuone kirikuu mwenyewe anafananaje na mambo yake yalivyo.
Hehe Jamaa anagonga selfie, Kirikuu kaweka wa mbuzi.
Kweli aisee, watoto washkaji zangu sana, sema wanawajua kina Phineas & Co tu. Ngoja nimtafute tena saivi, hilo jina tu ni burudani.
Revealed: Lionel Messi's on-pitch selfie with Deshorn Brown - Goal.com - Revealed: Lionel Messi's on-pitch selfie with Deshorn Brown - Goal.com
Nyie wakishua ehh!!!.....lol.....uswahilini siku moja moja......
Hao Jamaa wa goal ni barça tu, kina Carlo, Ben, Kris. Hii issue angeifanya Jamaa yetu wa kudeka yule ingekuwa balaa, sema since Kirikuu ni 'good boy', wana-justify. Waliwahi kutuita Athletes vs Artists(Bayern) last season.
Hehe kumbe na wewe huwa mkorofi, haya bana.
Hapana kuna wakati mbona wanampondea tu Messi....... Mimi siyo mkorofi nilikuwa nakuchangamsha tu ....lol
Msipofunga leo basi mi naacha shabikia nyinyi maana mtaja niua kwa presha. Na hii nimeiweka kweli kabisa bora nikaishangilie USA wao wanapigana kufa.
2nd half is underway, 0-0.
Naona macho yote ni kwa game la Brazil hata updates shida....
Hahaha, game yenyewe hii haina hata mzuka. Siamini Colombia hii ndio ilitufunga.
Toka mwanzo Columbia wala siyo siku ile waliwaotea Brazil tu....