Roger Sterling
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 13,010
- 23,653
74 minutes gone already, still 1-0.
Nilichogundua di maria kwa argentina ana msaada mkubwa kuliko kirikuu
Nilichogundua di maria kwa argentina ana msaada mkubwa kuliko kirikuu
Kwa game ya leo tunaweza sema kawa man of the match, kirikuu ni uhai wa timu.
Ungekuwa ndo Wenger ungempa usajili eh? Halafu nimeskia mnataka kuumuza Ospina vip aisee!!Anaweza kujitengenezea jina na timu kubwa kumtaka huyu kama bado hajasajiliwa na timu kubwa, nimempenda kwa ustadi wake wa kulinda goli.
Kwanini anaitwa Kirikuu?
Eti coz ni mfupi halafu anafanya mambo makubwa, ulishaiona katuni ya kirikuu?
Ungekuwa ndo Wenger ungempa usajili eh? Halafu nimeskia mnataka kuumuza Ospina vip aisee!!