Special Thread, COPA America 2015

Special Thread, COPA America 2015


For Colombia to stay in Copa America, the game between Brazil and Venezuela needs to end in a winner. If Brazil vs Venezuela ends in a draw, Colombia are out.

Karibu sana Salamander tunapenda kutambua uwepo wako leo humu,uko timu gani ?
 
Last edited by a moderator:
Hahaha Ye yupo humu kuangalia interests za Madrid tu, kama James ataendelea ama lah!

Hahahaha!!! Nimeshangaa uwepo wake humu leo nikasema labda amekuja na nyota ya Brazil,Haya naona umemsaidia mate kujibu......kwani mwanenu huku ni James tu? Au anampenda yeye zaidi ya wengine?
 
Hahahaha!!! Nimeshangaa uwepo wake humu leo nikasema labda amekuja na nyota ya Brazil,Haya naona umemsaidia mate kujibu......kwani mwanenu huku ni James tu? Au anampenda yeye zaidi ya wengine?

Kuna Casemiro bench, Danilo aliumia. Labda wanetu wa zamani, Fabinho na Robinho.
 
Back
Top Bottom