funaku
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 38,534
- 31,198
Nyuma ya mziki wa Singeli au mchiriku tunaitafuta na kuipata meseji kubwa sana ya kisiasa mwaka huu.
Yaani yupo chiriku aliyelishwa maneno na kuanza kuyaongea (kulonga) huku akijitikisa (kuyumbayumba)
Chiriku asihukumiwe bali anayeishi na chiriku atajulikana au ameshajulikana.
Kazi na utu....Tusonge mbele watanzania!
Mama mitano tena !
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Yaani yupo chiriku aliyelishwa maneno na kuanza kuyaongea (kulonga) huku akijitikisa (kuyumbayumba)
Chiriku asihukumiwe bali anayeishi na chiriku atajulikana au ameshajulikana.
Kazi na utu....Tusonge mbele watanzania!
Mama mitano tena !
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!