BAGAH
JF-Expert Member
- Jan 17, 2012
- 4,523
- 1,060
na dokta ntakua mmhuyo mpaka uweke oda kwa doctor
na dokta ntakua mmhuyo mpaka uweke oda kwa doctor
Mkuu siku hizi kwa kizazi hiki kilicholaaniwa hakuna kitu kinachoitwa bikira. Mtoto hutoka tumboni akiwa tayari amebikiriwa ready for human consumption.
kwa case yako hii anakuwa katika lile kundi la waliozaliwa bila hicho kiwambo kutokana na uumbaji
Hakuna kitu wewe acha uongo, wengi wanaondolewa hiyo maneno ktk umri mdogo tu wakiwa primary school
Mkuu siku hizi kwa kizazi hiki kilicholaaniwa hakuna kitu kinachoitwa bikira. Mtoto hutoka tumboni akiwa tayari amebikiriwa ready for human consumption.
bikira ni usumbufu tu
kwa hili nadhani inategemea sana, labda mwanaume akimtoa bikra msichana ndo hatamsahau huyo msichana ingawa sina uwakika nalo ila ninachojua si lazima kumkumbuka mtu aliyekutoa bikra mana mimi nilishamsahau huyo jamaa.Unapoambiwa uzuri wa m/mke ni tabia maana xake kwa ambaye hajaolewa hiyo lazima iwepo. Mwanamke hua hamsahau jamaa alie mtoa bikra,so ni vema ukamtoa mwenyewe
Kwani bikira ndio kitu gani na ina faida gani kwa mwanaume? kwangu mimi siintatin vitu vya kijinga jinga kama hivyo, na sihitaji hata mwanamke anaevaa shanga.
naelekea kutoka kwenye ujana bila bikra asalaleee!
Unapoambiwa uzuri wa m/mke ni tabia maana xake kwa ambaye hajaolewa hiyo lazima iwepo. Mwanamke hua hamsahau jamaa alie mtoa bikra,so ni vema ukamtoa mwenyewe
naelekea kutoka kwenye ujana bila bikra asalaleee!