The secretary
JF-Expert Member
- Jan 14, 2012
- 4,149
- 2,536
si kila msichana unayekutana naye kimwili kwa mara ya kwanza ukakuta hana bikra ukadhani alikuwa kicheche. kuna tofauti wa maumbile.
1. kuna wale wenye kiwambo (ngozi ya uke) chembamba chenye sm 2 hivyo baada ya kuingiwa utanuka na kufikid sm 4 hii usababisha maumivu kidogo na kutokwa damu.
2. ambao wamezaliwa bila kiwambo,hivyo huwa hakuna maumivu wala damu wafanyapo mapenzi kwa mara ya kwanza.
3. kiwambo kinene .hawa huwa na kiwambo kinene sana hivyo mara nyingi mwanaume hushindwa kumwingia na kupelekea kwenda kutanuliwa hospitali.
4. kiwambo kilichochanika,hii inawezekana ni kutokana na michezo mbalimbali na kupanda baiskeli na njia nyingine ni kufanya mapenzi.
1. kuna wale wenye kiwambo (ngozi ya uke) chembamba chenye sm 2 hivyo baada ya kuingiwa utanuka na kufikid sm 4 hii usababisha maumivu kidogo na kutokwa damu.
2. ambao wamezaliwa bila kiwambo,hivyo huwa hakuna maumivu wala damu wafanyapo mapenzi kwa mara ya kwanza.
3. kiwambo kinene .hawa huwa na kiwambo kinene sana hivyo mara nyingi mwanaume hushindwa kumwingia na kupelekea kwenda kutanuliwa hospitali.
4. kiwambo kilichochanika,hii inawezekana ni kutokana na michezo mbalimbali na kupanda baiskeli na njia nyingine ni kufanya mapenzi.