Wana Chadema nimeona niwatoe wasiwasi kuhusu matokeo yaliyopita ya jimbo la Igunga ieleweke Chadema hatukuweka mgombea wagombea walikuwa wawili tu RA wa CCM aliyepata kura 34,090 na Leopard Mahona wa CUF aliyepata kura 11,321 unaweza kuona kabisa ni kiasi gani kuna mtaji wa kura za upinzani huko, hiyo ni mbali na matokeo ya kura za urais.
Kwa taarifa yenu Chadema Igunga ina mizizi kuliko watu wanavyodhani, CCM imechokwa watu wanataka mabadiliko hizo kura za CUF zisiwababaishe wananchi walikuwa hawana alternative nyingine zaidi ya kukipigia chama hicho nafikiri Chadema kingeweka mgombea mambo yangekuwa tofauti, kura zinaonyesha mbali ya RA kugawa pesa kila kaya lakini bado watu walimkataa.
Ngoja niwakumbushe historia ya uchaguzi mdogo wa Busanda 2009, matokeo ya ubunge Busanda ya mwaka
2005: CCM= 61,868, CUF=13,094 na Chadema= 3,109 lakini kwenye uchaguzi mdogo uliofuata mambo yakabadilika...
2009: CCM= 29,242, CUF= 977 tu na Chadema ikapata kura 22,799 what happened to CUF?
Kilichoifanya Chadema iipiku CUF kwa kura nyingi kiasi hicho ndicho hicho hicho kitaifanya Chadema kuibuka kidedea kwenye uchaguzi huu. Kwa hilo sina wasiwasi kabisa kwasababu zifuatazo, kwanza Igunga tuna mtaji wa kura za upinzani pili tuna nyongeza kutoka CCM waliokatishwa tamaa na utawala wa CCM na tatu wapenzi wa mbunge wao kipenzi RA waliochukizwa na maamuzi ya kumfukuza mbunge wao tuko nao pamoja. Nne CCM imechoka haina mtu kitaifa wa kwenda Igunga na kukiuza chama Nape na Chiligati kwa hali ya kawaida hawawezi kukanyaga kule labda kama wanataka kuzomewa.
Pamoja na hayo Chadema ina kikosi kazi kilichokamili kuanzia mzee wa anga hadi askari wa miamvuli, NEC ikiacha haki itendeke kwenye uchaguzi huu na Chadema tukijipanga vizuri kuzilinda kura kwa sababu zipo tuna kila haja ya kutembea kifua mbele kuwa jimbo hilo ni letu.
Muhimu: Nani kati ya hawa unamwona anafaa kupeperusha bendera yetu Igunga toa pia sababu.
1. Kajua Sebastiani 2. Marco Amos 3. Kahema John, 4. Buzinza Magego, 5. Dickson Samsoni, 6. Anwari Luhumbi, 7. Erasto Tumbo, 8. Joseph Mwandu, 9. Juma Katigula, 10.Frank Matto, 11.Joseph Mapalala 12.Juma Chaha.
Pamoja Tutaweza, Nimerudi kuwashika............mapambano ndiyo yanaanza..... People's Power.
Muhimu: Nani kati ya hawa unamwona anafaa kupeperusha bendera yetu Igunga toa pia sababu.
1. Kajua Sebastiani 2. Marco Amos 3. Kahema John, 4. Buzinza Magego, 5. Dickson Samsoni, 6. Anwari Luhumbi, 7. Erasto Tumbo, 8. Joseph Mwandu, 9. Juma Katigula, 10.Frank Matto, 11.Joseph Mapalala 12.Juma Chaha.
Pamoja Tutaweza, Nimerudi kuwashika............mapambano ndiyo yanaanza..... People's Power.
Tulizoeya kusikia ccm wamejitokeza wagombea wengi sasa imekuwa na cdm kazi hipo.mpaka sasa 12ccm na 15cdm
<br /><font color="#a52a2a"><b>Hakuna hata mmoja kwani yeyote kati yao akisimamishwa akakutana na mgombea wa chama dume atashindwa vibaya</b></font>
Hapa nafikiri atakuwa Erasto Tumbo ana uzoefu.Muhimu: Nani kati ya hawa unamwona anafaa kupeperusha bendera yetu Igunga toa pia sababu.
1. Kajua Sebastiani 2. Marco Amos 3. Kahema John, 4. Buzinza Magego, 5. Dickson Samsoni, 6. Anwari Luhumbi, 7. Erasto Tumbo, 8. Joseph Mwandu, 9. Juma Katigula, 10.Frank Matto, 11.Joseph Mapalala 12.Juma Chaha.
Pamoja Tutaweza, Nimerudi kuwashika............mapambano ndiyo yanaanza..... People's Power.
Muhimu: Nani kati ya hawa unamwona anafaa kupeperusha bendera yetu Igunga toa pia sababu.
1. Kajua Sebastiani 2. Marco Amos 3. Kahema John, 4. Buzinza Magego, 5. Dickson Samsoni, 6. Anwari Luhumbi, 7. Erasto Tumbo, 8. Joseph Mwandu, 9. Juma Katigula, 10.Frank Matto, 11.Joseph Mapalala 12.Juma Chaha.
Pamoja Tutaweza, Nimerudi kuwashika............mapambano ndiyo yanaanza..... People's Power.
<br />
<br />
CCM si chama dume tena kishakuwa dumejike!
Umeambiwa hii ni kwa wana CDM tu na watu wa Igunga. You are none of the above. So split.Hakuna hata mmoja kwani yeyote kati yao akisimamishwa akakutana na mgombea wa chama dume atashindwa vibaya
Hayo ndo mabadiliko na ukuaji wa democracy. Adui mkubwa kwa watanzania sasa ni kauli kama aliyoitoa Nchimbi juzi wakati akihitimisha bajeti ya wizara yake alisema eti UZALENDO NI KUIPENDA CCM! Hiyo ni kauli ya kuipiga vita kwani wananchi wanaweza danganyika kwa matamshi ya kijinga kama hayo.Tulizoeya kusikia ccm wamejitokeza wagombea wengi sasa imekuwa na cdm kazi hipo.mpaka sasa 12ccm na 15cdm
Shukrani mkuu MkandaraQuinine,
Labda nikupe Kiungo kikubwa cha kumpata mgombea mzuri kati ya hao.
Kwanza waite wote kisha wape karatasi ambayo kila mmoja waoa taaandika jina ambalo akama sii yeye atachaguliwa basi anampendekeza nani.. Jina moja tu.. Nina hakika lipo jina litakalokuwa na kura nyingi hivyo wagombea wenyewe wanampitisha.
Hilo kwanza pili, ni muhimu sana kumpata mtu ambaye nin mwenyeji Aluwatan na mwenye kufahamika kwa vijana wa kizazi kipya na anaweza kuwakilisha hoja nzito za wana Igunga. Njia ya pili ni kwenda Igunga kwenyewe mapema na kuuza majina haya kabla.. Hapo ni rahisi sana kusikia vijiweni nani anauzika kwa sababu Hapa JF woote kina sisi tunaishi mbali na Igunga wengine hata hawajui Igunga iko wapi mkoani Tabora.
Tatu, Ilani ya chama ktk uchaguzi huu mdogo lazima ukite penye donda!..Ardhi na Madini kama mtaji wa wananchi ni lazima ziwe sababu kubwa ya kampeni ktk kurudisha utajiri wa jimbo hilo mikononi mwa wananchi. Ardhi imeporwa na Kilimo cha kahawa kimekosa incentives kama zamani enzi za mwalimu ktk umwagiliaji na madawa..Ajira kwa wananchi iwe ndio mbiu ya chama. Kwa kila hoja nzito inayowakabiri wanaIgunga ndipo mnapotakiwa kugonga msumari kama ilani ya chama. Na bila shaka kwa Umaarufu wa CDM sasa hivi mtawapa mtihani mkubwa wana Igunga na pengine nasema tena PENGINE Chadema inaweza kushinda..
Mzee mabadiliko yanakuja ila kuna watu wanajifanya kutoyaona, tumeanza mbali sana nakumbuka kadi yangu ya kwanza nilikata mwaka 1992 United Movement for Democracy(UMD) cha Mzee Fundikira tulikwenda kwa kujificha ficha pale Magomeni Mapipa tukiogopa kuonekana na polisi.Tulizoeya kusikia ccm wamejitokeza wagombea wengi sasa imekuwa na cdm kazi hipo.mpaka sasa 12ccm na 15cdm
Najua sana lakini hakuna wakati wa kuzungumzia Ajira kama wakati wa Njaa. Igunga umefika? hizi porojo za Rostam na ujenzi wa shule sijui Zahanati ni vitu ambavyo wana Igunga hawakuviomba na wala sii vitu ambavyo siku zote WanaIgunga wataisifia CCM..Shukrani mkuu Mkandara
Njia yako ya pili ya kumpata mwenyeji ndiyo hasa ikifuatwa si tu na CDM bali na chama chochote inaweza kukipatia ushindi, kuhusu Ilani ni njia nzuri kwa watu walio na uelewa hasa kwa nchi zinazofuata utawala wa sheria kuwa distribution ya resources ni ya usawa hata kwa majimbo ya wapinzani, lakini kwa nchi zetu unaweza kuhubiri ilani hadi ukawapa na kopi lakini wakaona kama unakariri mashairi kumbe si hicho wanachokitaka. Ajira sidhani kama itauza kumbuka tunazungumzia jimbo la Igunga si Ubungo labda ardhi hasa kwenye kilimo mfano mbolea ya ruzuku hivyo vinaweza kuuzika. Asante mkuu ila hiyo njia ya kwanza sina uhakika nayo.
Tulizoeya kusikia ccm wamejitokeza wagombea wengi sasa imekuwa na cdm kazi hipo.mpaka sasa 12ccm na 15cdm
<br />Muhimu: Nani kati ya hawa unamwona anafaa kupeperusha bendera yetu Igunga toa pia sababu.<br />
<br />
1. Kajua Sebastiani 2. Marco Amos 3. Kahema John, 4. Buzinza Magego, 5. Dickson Samsoni, 6. Anwari Luhumbi, 7. Erasto Tumbo, 8. Joseph Mwandu, 9. Juma Katigula, 10.Frank Matto, 11.Joseph Mapalala 12.Juma Chaha. <br />
<br />
Pamoja Tutaweza, Nimerudi kuwashika............mapambano ndiyo yanaanza..... People's Power.