Special Diploma UDOM, Aibu kwa serikali

Special Diploma UDOM, Aibu kwa serikali

Kuna wakati nishakuwa mwalimu wa hayo masomo katika level ya o_level. Najua mwalimu wa masomo ya Hisabati, Physics na Chemistry anatakiwa awe vipi ili kumfanya mwanafunzi wake aelewe. Nilikwenda pale Udom mwezi uliopita kwa shughuli za kikazi nikabahatika kukutana na hawa vijana na nikabahatika kuangalia mtaala wanaotumia. Kwanza ukweli ni kwamba pale mostly ni wale wenye div 3 ambao hawakubahatika kupata fursa ya kwenda kidato cha 5.
Ninachokiamini hawa vijana ili kuwa competent kulikuwa na haja ya kupitia elimu ya advance kwa masomo husika, Nadhani nisingekuwa na haya maoni iwapo wengekuwa wanachukuliwa vijana waliohitimu kidato cha 6 kwa PCM wakakosa nafasi ya kuendelea na chuo.

Naamini kwa wale wanaosoma degree pale UDOM wanaweza kuelezea zaidi ni aina gani ya vijana tunawatengeneza pale.
 
Sijaona point hapo.
Vijana waliochaguliwa ni wenye ufaulu mzuri, div 1, 2 na wachache div3. Sio division 3 tu kama unavyotuaminisha.
Sio kweli kwamba, vijana waliopata F ktk masomo ya sayansi (masomo yao ya kufundishia) wamepata nafasi hiyo.
Pia sio kweli kwamba, form6 wa masomo ya sayansi, aliyepata devision 3, atakosa sehemu ya kwenda kuchukua degree. Hata st. Joseph? Unaweza kupima ni nani aliyepata div3 yuko tayari kuchukua deploma, wakati anachansi ya kuchukua degree ya fani ile ile?
Nina kumbukumbu kua, forgm6 wote wa masomo ya sayansi waliopata angalau cheti, ila wakakosa sifa ya kujiunga na chuo chochote, walichukuliwa na kupelekwa chuo cha ualimu morogoro (kwa aliyehitaji). Huko walipewa mafunzo kisha wakapewa mtihani. Waliofaulu, waliendelea na masomo ya diploma. Zote hizo ni jitihada za serikali ktk kutatua tatizo la walimu wa sayansi.
Ningekuona unafaa kama ungetoa wazo kua, serikali itoe nafasi kwa wahitimu wa vyuo mbalimbali waliokosa ajira, ambao walisoma combination za sayansi, kupatiwa mfunzo ya ualimu (kama mtu mwenyewe akitaka) ili kuongeza kasi ya kutatua tatizo la walimu wa sayansi; na sio kukosoa hatua mbalimbali zinazochukuliwa kutatua tatizo la walimu wa sayansi.
Nakubaliana na hili wazo. Ungepigwa msaragambo wa watu wote ambao hawajafanya kozi za ualimu lakini wamefanya masomo ya sayansi na kufaulu vizuri katika level yoyote yaani O-level, advance au hata vyuoni kwao wawekewe utaratibu maaalumu waende vyuo kwa refresh course wangesaidia. Tatizo hata motivation kwenye ualimu ipo chini sana. serikali anapaswa kujitadhimini. Ila swala la mtu kuingia na passmark ndogo kiukwel huwa halitadhimini utendai wake wa kazi,. Nakumbuka nikiwa chuoni nasoma degree ya kwanza ya ualimu tulikuwa walimu wengi wa primary tunaojiendeleza kuliko wa sekondary ambao wengi wao sifa wanazo ila wamechoka. Kiukweli taaluma inataka bidii binafsi na sio kujivunia ulichopata level za chini. Walimu wa primary wapo wanajiendeleza wengine wan Masters, PhD mpaka maprofesa like hao hao wa sekondary.
 
Dah, Shengena 25. Kulikua na Kyara kama sikosei wa nidhamu. Huyo Don King tulimpikea kwa mgomo wa kiungwana kiroho safi wakaturudishia pesa zetu tukatawanyika bila fujo yeyote. Nakumbuka ulikua mgomo wa hoja kupinga ratiba za mitihani kubadilikabadilika na ulazima wa kuchangishwa gharama za Mock wakati hata hawasahihishi hadi mnafanya mtihani wa mwisho.

Shukrani kwa kumbukumbu mkuu


wana old moshi xul kumbe tupo wengi humu....hahahah akina mzee omary wa DH
 
Sijaona point hapo.
Vijana waliochaguliwa ni wenye ufaulu mzuri, div 1, 2 na wachache div3. Sio division 3 tu kama unavyotuaminisha.
Sio kweli kwamba, vijana waliopata F ktk masomo ya sayansi (masomo yao ya kufundishia) wamepata nafasi hiyo.
Pia sio kweli kwamba, form6 wa masomo ya sayansi, aliyepata devision 3, atakosa sehemu ya kwenda kuchukua degree. Hata st. Joseph? Unaweza kupima ni nani aliyepata div3 yuko tayari kuchukua deploma, wakati anachansi ya kuchukua degree ya fani ile ile?
Nina kumbukumbu kua, forgm6 wote wa masomo ya sayansi waliopata angalau cheti, ila wakakosa sifa ya kujiunga na chuo chochote, walichukuliwa na kupelekwa chuo cha ualimu morogoro (kwa aliyehitaji). Huko walipewa mafunzo kisha wakapewa mtihani. Waliofaulu, waliendelea na masomo ya diploma. Zote hizo ni jitihada za serikali ktk kutatua tatizo la walimu wa sayansi.
Ningekuona unafaa kama ungetoa wazo kua, serikali itoe nafasi kwa wahitimu wa vyuo mbalimbali waliokosa ajira, ambao walisoma combination za sayansi, kupatiwa mfunzo ya ualimu (kama mtu mwenyewe akitaka) ili kuongeza kasi ya kutatua tatizo la walimu wa sayansi; na sio kukosoa hatua mbalimbali zinazochukuliwa kutatua tatizo la walimu wa sayansi.
Samahani mkuu mie mwenyewe nilipata dv four form six nikiwa naufaulu wa advanced mathematics tu ambayo nilipata E lakini cjawahi bahatika kupata nafasi ya kujiunga na chuo cha elimu cha serikali sijui waweza nisaidia maana kidato cha nne nilifaulu vizuri sana sema a level mambo yaliingiliana nikaharibu
 
Kuna wakati nishakuwa mwalimu wa hayo masomo katika level ya o_level. Najua mwalimu wa masomo ya Hisabati, Physics na Chemistry anatakiwa awe vipi ili kumfanya mwanafunzi wake aelewe. Nilikwenda pale Udom mwezi uliopita kwa shughuli za kikazi nikabahatika kukutana na hawa vijana na nikabahatika kuangalia mtaala wanaotumia. Kwanza ukweli ni kwamba pale mostly ni wale wenye div 3 ambao hawakubahatika kupata fursa ya kwenda kidato cha 5.
Ninachokiamini hawa vijana ili kuwa competent kulikuwa na haja ya kupitia elimu ya advance kwa masomo husika, Nadhani nisingekuwa na haya maoni iwapo wengekuwa wanachukuliwa vijana waliohitimu kidato cha 6 kwa PCM wakakosa nafasi ya kuendelea na chuo.

Naamini kwa wale wanaosoma degree pale UDOM wanaweza kuelezea zaidi ni aina gani ya vijana tunawatengeneza pale.

Linatengenezwa jipu la koo
 
Sijaona point hapo.
Vijana waliochaguliwa ni wenye ufaulu mzuri, div 1, 2 na wachache div3. Sio division 3 tu kama unavyotuaminisha.
Sio kweli kwamba, vijana waliopata F ktk masomo ya sayansi (masomo yao ya kufundishia) wamepata nafasi hiyo.
Pia sio kweli kwamba, form6 wa masomo ya sayansi, aliyepata devision 3, atakosa sehemu ya kwenda kuchukua degree. Hata st. Joseph? Unaweza kupima ni nani aliyepata div3 yuko tayari kuchukua deploma, wakati anachansi ya kuchukua degree ya fani ile ile?
Nina kumbukumbu kua, forgm6 wote wa masomo ya sayansi waliopata angalau cheti, ila wakakosa sifa ya kujiunga na chuo chochote, walichukuliwa na kupelekwa chuo cha ualimu morogoro (kwa aliyehitaji). Huko walipewa mafunzo kisha wakapewa mtihani. Waliofaulu, waliendelea na masomo ya diploma. Zote hizo ni jitihada za serikali ktk kutatua tatizo la walimu wa sayansi.
Ningekuona unafaa kama ungetoa wazo kua, serikali itoe nafasi kwa wahitimu wa vyuo mbalimbali waliokosa ajira, ambao walisoma combination za sayansi, kupatiwa mfunzo ya ualimu (kama mtu mwenyewe akitaka) ili kuongeza kasi ya kutatua tatizo la walimu wa sayansi; na sio kukosoa hatua mbalimbali zinazochukuliwa kutatua tatizo la walimu wa sayansi.
Acha uongo vijana waliochaguliwa ni wale walioshindwa kwenda advance na viGPA zao z mwisho
 
Back
Top Bottom