Spea za magari haya...

changman

JF-Expert Member
Jul 26, 2011
229
90
Habari zenu

Mi niko nje ya Tanzania so kuna vitu ambavyo nahitaji kwa walioko nyumbani wanielezee inakuaje. Hivi kwetu tz kuna spea za magari yauatayo?

1. Chevrolet
2. GMC
3. Cadillac
4. Porsche
 
Mkuu hamna hiyo kitu huku. Mengi ya magari huku ni kutoka Japan ndio spea za kumwaga!
 
labda chevrolet ndio unaweza ukapata spare mi ninayo chevrolet suv van nimekuja nayo toka nje tangia mwaka 2006 iko poa hainusumbui sana na spare zake zipo
 
Katika enzi hii ya globalisation nothing is impossible kama ikibidi utaagiza spare yako kwa mtandao na utaipata tu ukiwa hapa. Usiogope kwani najua khali yako si mbaya kama yangu hata umiliki gari za bei mbay kama hizo
 
Lakini ukiangalia factor mbalimbali, ni bora kununua gari kutoka japan coz tuseme gari yako imeharibikia huko milimani ugweno na gari inahitaji spea ili iendelee na safari. Hakuna muda wa kuagiza spea online mpaka ije wakati we unahitaji kuendelea na safari. Spea za gari za japan unaweza pata popote hata huko milimani.
 
Lakini ukiangalia factor mbalimbali, ni bora kununua gari kutoka japan coz tuseme gari yako imeharibikia huko milimani ugweno na gari inahitaji spea ili iendelee na safari. Hakuna muda wa kuagiza spea online mpaka ije wakati we unahitaji kuendelea na safari. Spea za gari za japan unaweza pata popote hata huko milimani.

Yakhe umefanya kufuru kusema magari yanunuliwe Japan tu wakati hao wajapani viwanda vyao vimezagaa kotekote duniani, labda yaliyotumika, kama ni mapya ujue hayatatoka Japan ila kwingineko.

Nissan car assembly iliyoko USA Marekani ni mmoja ya plant ambayo ni kubwa zaidi ninavyoifahamu nchini Marekani ya kuunda magari yenye wafanyakazi 5,000 - 7,000 kutegemeana na mahitaji wanapohitajika hupungua kidogo au kuongezeka zaidi inatengeneza magari na kusambaza nchi 106 duniani na next two years itafikisha nchi 128 kwa sababu wanaanza kuunda magari ya right hand drive ambayo tunayahitaji Tanzania na UK. Nchi nyingi za Ulaya magari mengi ya Nissan huwa imported from this plant.

Plant hii huzalisha magari wakati mwingine 1000 - 1220 in 24 hours na wana assembly aina 11 za magari ya Nissan including Infinity, na sasa wako njiani kuanza kuassembly gari inayotumia umeme within a couple of month.

Tuelewe global trade haina kikomo cha nchi wala nini.

Nissan Tennessee Smyrna Plant

nissan-tennessee-smyrna-plant.jpg


Kwa habari zaidi soma bofya
From Sushi to Stetsons: An Inside Look at Nissan North America

Read more: Nissan Tennessee Smyrna Plant Photo 4
hapa ndipo utakapojua ninachoongea usijefikiria nimetia chumvi.
 
Nissan ilinunuliwa na Renault ya Ufaransa siku nyingi tu. Mjapan hana chake hapo.

Usichanganye kununua kampuni na sharing. soma hapa:[h=3]Expansion of alliance to include both Daimler and Renault[/h]On April 7, 2010, Daimler AG exchanged a 3.9% share of its holdings for 3.9% from both Nissan and Renault. This triple alliance allows for the increased sharing of technology and development costs, encouraging global cooperation and mutual development.[SUP][20][/SUP] The alliance with Daimler is believed to have a focus on battery/electric technologies.

[h=3]Alliance with Renault[/h]In 1999, with Nissan facing severe financial difficulties, Nissan entered an alliance with Renault S.A. of France.[SUP][18][/SUP]
Signed on March 27, 1999, the Renault-Nissan Alliance is the first of its kind involving a Japanese and French car manufacturer, each with its own distinct corporate culture and brand identity. The same year, Renault appointed its own Chief Operating Officer, Carlos Ghosn, as Chief Operating Officer of Nissan and took a 22.5% stake in Nissan Diesel. Later that year, Nissan fired its top Japanese executives.
The Renault-Nissan Alliance has evolved over years to Renault holding 44.3% of Nissan shares, while Nissan holds 15% of Renault shares which does not give Nissan a voting or board representation due to legal restriction in France.
Under CEO Ghosn's "Nissan Revival Plan" (NRP), the company has rebounded in what many leading economists consider to be one of the most spectacular corporate turnarounds in history, catapulting Nissan to record profits and a dramatic revitalization of both its Nissan andInfiniti model line-ups. In 2001, the company initiated Nissan 180, capitalizing on the success of the NRP. The targets set with 180 were an additional sale of 1 million cars, achieving operating margins of 8%, and to have zero automotive debts. Ghosn has been recognized in Japan for the company's turnaround in the midst of an ailing Japanese economy. Ghosn and the Nissan turnaround were featured in Japanesemanga and popular culture. His achievements in revitalizing Nissan were noted by Japanese Government, which awarded him the Japan Medal with Blue Ribbon in 2004.[SUP][19][/SUP]
 
Nissan imebaki kuwa ni gari ya kijapani pamoja na mabadiliko makubwa yaliyotokea katika sharing. Hizo gari za Kifaranza zimemezwa kabisa na Nissan na kinachosikika ni Nisasan gari ya Kijapan.

Kuna timu kubwa za mpira wa soccer, football, basketball nk za ulaya na Marekani zinamilikiwa na watu wa mataifa mengine lakini zinabaki ni timu za nchi husika, haziwezi kuhamishiwa nchi waliko wamiliki.

Mchezaji wa mpira wa kikapu James Libron ana hisa timu ya Liverpoor ya Uingereza, hapa huwezi kusema timu hiyo ni ya Marekani.

Kwa makampuni kujitanua kuwa na matawi nchi nyingine lakini haki za kibiashara zinamilikiwa na nchi husika Japan.
 
Zipo nyingi sana. Leta model yako na spare unayotaka nione nnakupatia. Halafu kama unataka spare za ndege wanazotumia ATC hapa ndio rahisi kuliko dunia nzima, wewe sema tu unachotaka. Bongo Bingo.
 
Nissan imebaki kuwa ni gari ya kijapani pamoja na mabadiliko makubwa yaliyotokea katika sharing. Hizo gari za Kifaranza zimemezwa kabisa na Nissan na kinachosikika ni Nisasan gari ya Kijapan.

Kuna timu kubwa za mpira wa soccer, football, basketball nk za ulaya na Marekani zinamilikiwa na watu wa mataifa mengine lakini zinabaki ni timu za nchi husika, haziwezi kuhamishiwa nchi waliko wamiliki.

Mchezaji wa mpira wa kikapu James Libron ana hisa timu ya Liverpoor ya Uingereza, hapa huwezi kusema timu hiyo ni ya Marekani.

Kwa makampuni kujitanua kuwa na matawi nchi nyingine lakini haki za kibiashara zinamilikiwa na nchi husika Japan.

Magari yote duniani wenyewe ndio hap hao tu, hata nyumbu utakuta tunajidai tu lakini vipuli ndio walewale tu wenyewe:

who-who.jpg
 
Asikudanganye mtu, availabiliy ya spea za magari hayo ni almost zero. Usidanganywe na vingereza picha vilivyowekwa humu na waliotoka nje ya mada wengi tu. We njoo na hiyo migari aaffuu ikufie ukiwa unapandisha kishumundu ndo utajuwa kama NISSAN ILINUNULIWA AU INA SHEA NA RENAULT. Usihadaike na hayo mashindano ya ujuwaji hapo, kutaka spea za magari hayo hapa TZ ni sawa na kuingia buchani na kuuliza kama unaweza ukanyolewa humo.
 
Magari yote duniani wenyewe ndio hap hao tu, hata nyumbu utakuta tunajidai tu lakini vipuli ndio walewale tu wenyewe:

who-who.jpg

Kwa ufahamu wangu uwezo wa kuunda gari hata makampuni makubwa yanayoassembly magari hayana uwezo wa kuwa na kila kitu. Ukiona picha ya kiwanda kikubwa kama alicholeta Njele hapo juu haina mana wanajitosheleza. Utaona hapo wanachofanya kikubwa ni uundwaji wa car body na vipuli vichache, na kuna plant nyingine ambazo zinatengeneza engine na transmission. Na kuna parts nyingi tu zambazo huwa imported from makampuni mengine.

Haya makampuni ya kuunda magari yanashirikiana sana, na utagundua ulimwengu wa leo licha ya management, mainjinia wa makampuni tofauti hukutana na kushare ideas na ndio maana unaona kuna magari ya makampuni tofauti ambayo miundo ya magari yao hayatofautiani sana.
 
Asikudanganye mtu, availabiliy ya spea za magari hayo ni almost zero. Usidanganywe na vingereza picha vilivyowekwa humu na waliotoka nje ya mada wengi tu. We njoo na hiyo migari aaffuu ikufie ukiwa unapandisha kishumundu ndo utajuwa kama NISSAN ILINUNULIWA AU INA SHEA NA RENAULT. Usihadaike na hayo mashindano ya ujuwaji hapo, kutaka spea za magari hayo hapa TZ ni sawa na kuingia buchani na kuuliza kama unaweza ukanyolewa humo.

Fikra za enzi za kale. Sasa ni dunia kijiji. Mtandao + credit card + FeDex = Parts at your door step.

Magari yote yaliopo Tanzania yana spare hapa? au zote zinaletwa kutoka nje?
 
nissan-tennessee-smyrna-plant.jpg


Watanzania, ulimwengu wa leo mdogo sana, na ambacho hakikuwezekana miaka 20 ilyopita leo hakuna kisichowezekana.
Picha hii imenikumbusha mbali kwani baadhi ya marafiki zangu ninaowafahamu wanaotoa mchango mkubwa katika plant hii ni kama ifuatavyo:

  • Kuna Waithiopia wanaounda team ya waajiriwa hapa
  • Kuna mtanzania mmoja ambaye anahusika katika timu ya kuunda magari ndani ya jengo hili
  • Kuna Msudani anayehakiki ubora wa magari yakishakamilika. Hao ni wale ninaowafahamu.
  • Kuna wengi ambao hatuwafahamu ila tu sasa hivi tumechanganyika na walimwengu.
Kuna wengi tu ndio maana msishangae kuoa wanaibua mambo haya yanayotoka jikoni kwenyewe.
 
Back
Top Bottom