Dennis Robert Shughuru
JF-Expert Member
- May 30, 2024
- 4,124
- 6,141
Hapa duniani hakuna industry ambayo imefikia market capitalization ya usd one quadrillion ni space colonization peke yake ndo ina-hiyo market capitalization na iko untapped kwa zaidi ya asilimia 90
Kuna watu wanasema wewe mtia nia wa urais wa Tanzania mbona hufocus na mambo kama huduma za maji, umeme, miundombinu, afya ambazo ndo changamoto kubwa inayowasumbua wafrika jibu ni kwamba sisi kama nchi ni lazima tutafute namna ya kutafuta fedha
Kwa ambao tuna-elimu ya anga na kujua potential yake itakuwa ni ajabu sana endapo tunashida ya fedha kama nchi na tukaacha kutumia hiyo potential ya market capitalization ya usd one quadrillion ambayo ipo kwenye space colonization
Hizo one quadrillion kwenye space colonisation zipo wapi hilo ndo swali la kujiuliza au utaniuliza zipo kwenye mambo yafuatayo
Hii potential kama nchi ya Tanzania hatutakiwi kuikosa
www.jamiiforums.com
Kuna watu wanasema wewe mtia nia wa urais wa Tanzania mbona hufocus na mambo kama huduma za maji, umeme, miundombinu, afya ambazo ndo changamoto kubwa inayowasumbua wafrika jibu ni kwamba sisi kama nchi ni lazima tutafute namna ya kutafuta fedha
Kwa ambao tuna-elimu ya anga na kujua potential yake itakuwa ni ajabu sana endapo tunashida ya fedha kama nchi na tukaacha kutumia hiyo potential ya market capitalization ya usd one quadrillion ambayo ipo kwenye space colonization
Hizo one quadrillion kwenye space colonisation zipo wapi hilo ndo swali la kujiuliza au utaniuliza zipo kwenye mambo yafuatayo
- Space shuttle hapa namaanisha rockets
- Space mining hapa namaanisha uvunaji wa madini kwenye sayari mbalimbali
- Space tourism hapa namaanisha watu kutembelea sayari tofauti tofauti
- Multiplanetary business
- Kuwa sehemu ya kutengeneza mazingira ya space colonisation kwanini nasema hivyo kuna mambo mengi sana tumeshindwa kunufaika nayo kama nchi mfano;- manufacturing, natural resources, ambazo tunazo, pharmaceutical sasa hivi Artificial intelligence kama nchi tumeshindwa kunufaika navyo basi kwenye space colonization tusiwe nyuma kama ilivyozoeleka
Hii potential kama nchi ya Tanzania hatutakiwi kuikosa
Support hustle zangu mimi Rais mtarajiwa wa Tanzania
Maandalizi na mchakato wa kuwa Rais wa Tanzania yanaendelea at the same time harakati za kutafuta rizki zinaendelea in-short maisha lazima yaendelee JAMANI NAOMBA MNIUNGISHE Historia nzuri ni ile inayoandikwa in an ugly way, and awkward way 👇👇👇👇👇👇👇👇 Kwenye historia ya Tanzania ntakumbukwa kuwa...