Mtu akitoka Ccm anakuwa mchafu......!Ahamie CHADEMA, shimo la uchafu na vitu vibovu
mkuu vipi kuhusu zile pesa ulizosema za basheSafi sana. Wale waliokuwa wanamtetea Nchimbi waje hapa
Kwani mama simba anashutuma gani za kuhitaji kusafishwa mkuu?
Anabaki mkiwa ukizingatia aliokuwa nao katika harakati za chama kama Hayati Kitwana Kondo na wengine hawapo tena duniani.Hii siyo sawa. Huyu Mama kafanya vitu vingi kwa chama ila dakika ya mwisho katubuniwa. She is now close to retirement if not already retired, atapata wapi marafiki wapya Chadema, hasa ukuzingatia wala siyo mtu wa huko jamaa walivyo wajivuni? Ni kama Kigunge, hana raha. Au Sheikh Takadir "Mtakadini" 1958. Alikufa hana raha. Why did she do it?
Lizaboni sophia si alikua mbunge huyu???Wasimsahau Jesica Msavatavangu
......Ahamie CHADEMA, shimo la uchafu na vitu vibovu
Kisa cha kumliza ni nini........?Lowasa huko aliko analia kwa uchungu
When u r in greenhouse u must always b mr "yes"Kosa la kuwa na mawazo tofauti na wengine?
CDM wanapokea mtu aliyetoka ccm kwa hiari.....sio waliovuliwa uanachamaNdo maana mama alijihami mapema kuwa hatagombea tena, amfuate Wema atatoboa tu
duh siamini kama ww lizaboniBado Bashe
Upo kitengoni juhudi zako zinazaa matundaBado Bashe
Nenda zako huko labda Majaliwa humjui....mtu kainama zake wewe unasema anapiga makofi????
Najua wamesha kodoa vimachoDuh....fisi lazima wajinyakulie kimzoga....
Aisee, kwa nini useme hivyo mkuuNaona kuwafukuza haitoshi wangewaua kabisa.