Hiyo itakuwa imebrick, jaribu kuirestore au km itaendelea kufanya hivyo itabidi uflash firmwareNina sony xperia tatizo lake ukiiwasha inawaka inaonyesha logo ya sony,baada ya hapo haiendelei inakua inajiwasha na kujizima, nini tatizo au nifanye njia ipi niweze kutatua? Msaada wakuu.
Tatizo linaweza likawa la betri hapoKuna mda inawaka kabisa baada ya muda inajizima then inajiwasha. Nafikiria kuirestore ila tatizo sijafanya backup.
Ndio nayo pia yanaharibika.Betri ni nonremovable