Hapo kwenye kutafuta change ya elfu 10 saa nzima mh...!mji ambao ukiwa na not ya sh.10000 ukaenda sokoni kununua kitu, change itatafutwa saa nzima. yaani ukiwa na sh.elfu kumi wewe ndio tajiri. ukienda kusalimia wazee lazima uende na sukari usipobeba sukari ww huna maana tena utasikia wakilalamika "yaani anakuja bila hata kilo ya sukari, amekuja kufanya nini sasa" yaani kule kwetu sukari ni anasa.
Matuta yanazidi yale ya barabara ya Mirambo huku Dar au yale ya barabara ya kwa bibi Nyau kule kwa mtogole... ?? Sana Huko Songea matuta ni pale Bombambili na shule ya msingi misufini basiii...hayo
nayatambua,kuwa waganga wengi wanatoka ktk hyo miji unayoizungumzia,ila
kwa sasa tunaizungumzia songea,kwani ishu ya matuta makubwa ya
barabarani yanayoongoza duniani ina uhakika kwa asilimia ngapi?HAPA
TUNAIZUNGUMZIA SONGEA,NA REFFERENCE ZOTE ZTOKE HUKO,SIO NIGERIA. Ngalikihinja
Bana, hapo pa kufuga kuku uwani hapana... Mi pale Lizaboni wala hatufugi kuku uwani....Songea karibu kila nyumba uwani wanafuga mkuu wa meza aka kitimoto! Songea ni tajiri kwa madini kuna wakati mtu alikuwa anafua akaokota kipande kidogo cha gold pale chini ya daraja mto matalawe, raia nusura wachimbue daraja lote, bombambili nako nyumba ya mtu ilitaka kwenda! Songea i miss you mamaland
Koto kuvakonga vandu.....
SONGEA mji uco
nakiwanda hata kimoja,mahindi,tumbaku,korosho,kahawa,mazao yasiyoleta
tija kwawananch wa mkoa wa RUVUMA
Mleta mada,upo maeneo gani saa hizi? Lizaboni,Matarawe,Ruvuma,Mahenge,Manzese,Msamala au Mfaranyaki?
Au upo Peramiho,Namabengo,Hanga,Matimira au Chipole...?
Wakazi wake wengi wanaendekeza ushirikina na majungu. Kazi kudanganywa tu na kina Nchimbi. Eti nao wanajifanya kulalamika kwa kupandishiwa nauli wakati hata sukari inauzwa bei ya anasa tu.Wameletewa vyuo lakini hawataki kusoma kubwa kupiga ramli tu maeneo ya Ruvuma huko na Namabengo kwa binti Ndembo.