Rev. Kishoka
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 4,526
- 1,552
Iko mbaya gani. Shareholders watatu in red hapo juu ni private investors. Kwa hiyo Songas inaendesha shughuli zake kwa misingi ya kibiashara siyo kama mashirika yetu ya umma yanavyoendeshwa kwa misingi ya kisiasa.
Kufuatana na hali ya umeme nchini, this is a good business opportunity for anyone with brains kununua hiyo mitambo maana itahitajika tu hata Tanesco wanunue mitambo hiyo mipya.
Hapo Tanesco itapoanza kuwalipa capacity charges na Songas kuongeza faida yao, ndio wale wanaopinga ununuzi wa mitambo ya Dowans watapoona makosa waliyoyafanya. Na Bunge litaangalia hivi hivi bila kuwa na lolote la kufanya kwani halima mandate ya kuingilai utendaji wa Songas.
Mkuu Semilong,
Unarahisisha mambo utafikiri hiyo kampuni ya kuuza nyanya?
Hayo makampuni mengine yana shareholders wengine wengi tu, wanafuata corporate governance na accounting principles. Unachokisema kinawezekana tu kwenye mashirika yetu ya umma yanayoendeshwa kisiasa.
Kama Songas watanunua huo mtambo ni kwasababu wameona opportunity ambayo sisi hatukuiona na wameamua kuitumia. Its the economy, stupid!
2009-03-21 - ipp media
By Bilham Kimati
As the heated debate on whether the Tanzania Electric Supply Company (Tanesco) should or should not buy the Dowans Power Plant comes to a close, it has been hinted that Songas Power Company is now the potential buyer of the machines, The Guardian has learnt allayed fears over power rationing should the weather forecasts behave accordingly.
shareholders wa songas ni
1.Globeleq
2.Tanzania Petroleum Development Corporation - TPDC (100% mali ya umma)
3.Tanzania Electricity Supply Company Limited - TANESCO (100%mali ya umma)
4.Tanzania Development Finance Company Limited - TDFL (32% mali ya umma)
5.FMO YA HOLLAND
>>>>> Songas Limited shareholders <<<<<
kutokana na hao shareholders hapo juu, TPDC, TANESCO NA TDFL ni mali ya yetu wenyewe hili sio GOLI LA KISIGINO KWELI?
SIO SERIKALI INATAKA KUNUNUA KUPITIA MLANGO WA NYUMA?
"SAY NO TO SONGAS"
Mkuu Semilong,
Unarahisisha mambo utafikiri hiyo kampuni ya kuuza nyanya?
Hayo makampuni mengine yana shareholders wengine wengi tu, wanafuata corporate governance na accounting principles. Unachokisema kinawezekana tu kwenye mashirika yetu ya umma yanayoendeshwa kisiasa.
Kama Songas watanunua huo mtambo ni kwasababu wameona opportunity ambayo sisi hatukuiona na wameamua kuitumia. Its the economy, stupid!
tk.... hivi haya majenereta yenu mmekosa kabisa sehemu ya kuyauza??
Iko mbaya gani. Shareholders watatu in red hapo juu ni private investors. Kwa hiyo Songas inaendesha shughuli zake kwa misingi ya kibiashara siyo kama mashirika yetu ya umma yanavyoendeshwa kwa misingi ya kisiasa.
Kufuatana na hali ya umeme nchini, this is a good business opportunity for anyone with brains kununua hiyo mitambo maana itahitajika tu hata Tanesco wanunue mitambo hiyo mipya.
Hapo Tanesco itapoanza kuwalipa capacity charges na Songas kuongeza faida yao, ndio wale wanaopinga ununuzi wa mitambo ya Dowans watapoona makosa waliyoyafanya. Na Bunge litaangalia hivi hivi bila kuwa na lolote la kufanya kwani halima mandate ya kuingilai utendaji wa Songas.
17th October 2001
In a $310-million project, the Songo Songo gasfield
kwani serikali ilishindwa kufanya yenyewe ukizingatia faida yake sasa hivi siwangekua wamerudish $310m
That would require actual thinking and planning!
tk.... hivi haya majenereta yenu mmekosa kabisa sehemu ya kuyauza??
2009-03-21 - ipp media
By Bilham Kimati
As the heated debate on whether the Tanzania Electric Supply Company (Tanesco) should or should not buy the Dowans Power Plant comes to a close, it has been hinted that Songas Power Company is now the potential buyer of the machines, The Guardian has learnt allayed fears over power rationing should the weather forecasts behave accordingly.
shareholders wa songas ni
1.Globeleq
2.Tanzania Petroleum Development Corporation - TPDC (100% mali ya umma)
3.Tanzania Electricity Supply Company Limited - TANESCO (100%mali ya umma)
4.Tanzania Development Finance Company Limited - TDFL (32% mali ya umma)
5.FMO YA HOLLAND
>>>>> Songas Limited shareholders <<<<<
kutokana na hao shareholders hapo juu, TPDC, TANESCO NA TDFL ni mali ya yetu wenyewe hili sio GOLI LA KISIGINO KWELI?
SIO SERIKALI INATAKA KUNUNUA KUPITIA MLANGO WA NYUMA?
"SAY NO TO SONGAS"
kama kuna mtu anajua % ya shares za songas, kwa kila kampuni tuwekee please
ungetegemea mawazo ya aina hii yatoke kwa mtu asiye Mtanzania,na asiye na uchungu na nchi iitwayo Tanzania....inasikitisha sana kuona hadi leo baadhi ya Watanzania wenzetu wanajifanya hawasikii maumivu ya ufisadi.
Eti "IKO MBAYA GANI"....Ina maana hujui kwamba Dowans ni Richmond-kampuni ya kitapeli iliyopelekea Lowassa,Msabaha na Karamagi kuachia ngazi?Labda kwako hapo HAKUNA MBAYA kwa vile it seems it's OK kwa wewe na wenye mtazamo kama wako kwa nchi yetu kufanyiwa daylight robbery huku wahanga wakiwa mimi na wewe na walalahoi wengine (tax payers).
NI MBAYA kwa vile baada ya mafisadi kugundua kuwa janja yao ya kununua mitambo ya Dowans kupitia Tanesco inaelekea kukwama,sasa wanatumia mlango wa uani through Songas.Dowans ni kampuni ya kijambazi,and so are its mitambo yake.Hii ni sawa na wewe kuibiwa gari lako,kisha likapelekwa showroom baada ya kubadilishwa rangi,then ukauziwa tena!Kama hiyo sio MBAYA KWAKO then you are highly unlikely to be a true Tanzanian!
Private investment is in no way whatsoever a free pass for economic sabotage.
Jamani Globeleq ni leading shareholder anamiliki 59% akifuatiwa na TANESCO anamiliki 21% na TPDC wao wanamiliki 12% na TDFL wana 4% na zilizobaki ni hao jamaa wa Holland na hizi ni za kweli kwamba Songas wame bid kutaka kununua hiyo mitambo ya Dowans,habari ndo hiyo
Mlalahoi.
Mimi nadhani Watanzania wenye mawazo kama yako bado wamelala usingizi. Naona mnadhani nchi hii bado ni ya kijamaa. Mnazungumza tu habari ya uzalendo kwa kupiga mdomo wakati wenzenu wanafanya kazi zao chini ya mfumo wa sasa wa sera ya nchi kuwa ni private sector ndiyo itakayo endesha uchumi wa nchi hii na serikali itajenga tu mazingira mazuri ya kuiwezesha private sector kufanya kazi yake kwa ufanisi.
Sasa watu kama ninyi badala ya kutafuta njia ya kujipenyeza ndani ya private sector, bado mnazembea kuchangamka mnadhani ni enzi zile za Nyerere na Ujamaa. Mambo yamebadilia Mzee. Katika ubepari mwenye kisu kikali ndio hula nyama.
Ninyi mmekaa tu na kupiga kelele Dowans! Dowans! Ufisadi ! Ufisadi!, wakati wenzenu wanafanya mambo yao and within the law kama hao Songas. Hebu soma hiyo article ya Babu Ataka Kusema huenda ikakuzibua maskio.
Najua Watanzania kama mmoja mmoja hawana uwezo, lakini badala ya kupoteza muda wetu kutoa theories za ndoto kwa nini msifanye jambo la maendeleo kwa mfano kuiga mfano wa NICO? Jiungeni katika vikundi vya kiuchumi na muanze kushiriki katika uchumi wenu. Huo mdomo mdomo wenu utawaacha muwe kila siku maboi wa wawekezaji. (Nasaha tu ndugu yangu usikasirike)