Something Special on Haya Girls

Something Special on Haya Girls

kiwatengu

Platinum Member
Joined
Apr 6, 2012
Posts
19,295
Reaction score
17,790
Nilikuwa napuuza sana sifa wanazopewa Wahaya
on their beauty..
Baada yakuwaona mwenyewe tena huko vijijini kwao. Nimeamini..

Kwa uzuri na muonekano wa nje, really Wahaya ni wazuri..
Rangi zao na maumbo yao ni mazuri!!

Wengi wao ni weusi afu rangi zao zinavutia..
Kifuani na kwa nyuma wengi wao wako vizuri

Sijui sasa kwa upande mwingine(behavior & sex)
wakoje, kupima hiki kipengele ni vigumu.

Compare na maeneo mengine, kwa uzuri nawapa credit!!

You chagga girls on ur natural beauty generally hamwafikii wahaya (si shindanishi) ila ndiyo ukweli huo..

Najua kuna watu watakuja hapa na dhana ya "beauty is on the eyes of beholder"... wapi bana? shape and colour ndiyo uzuri wa macho ulipo...
 
Duu,ngoja waje wenyewe wenye kusifiwa.
 
Mkuu kiwatengu hii thread inawahusu wahaya asa wachagga umewaingizaje huku
 
Last edited by a moderator:
You chagga girls on ur natural beauty generally hamwafikii wahaya (si shindanishi) ila ndiyo ukweli huo..

Ayaaaaaaaa........ilikuwa imetosha sana mbona kwa sifa.......haikuwa na haja kuweka huu mstari.........kumbe ni threat eeeehhhh........jiaminini bana............
 
Ayaaaaaaaa........ilikuwa imetosha sana mbona kwa sifa.......haikuwa na haja kuweka huu mstari.........kumbe ni threat eeeehhhh........jiaminini bana............

ha ha ha...
Preta, unawajua wahaya? sijui ni ile hali ya ki ikweta inawafanya wawe vile na kutumia maharage kwa wingi..
Kagera huko vijijini karibia kila shamba la migomba chini kuna maharage..
wakipika ndizi lazima ziwe supported na maharage..
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom