Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,764
Ni wakati wa kujiuliza WaTanzania kunani ndani ya CCM mbona watu na wanachama waliosifika wanaikimbia ,je kumeingia Jambazi,je kuna mwizi ana panga ,mbona viongozi wa ngazi mbalimbali wakiwemo mawaziri na wabunge wawe wamo au wastaafu ,mbona wanaiwacha mkono CCM ? Kunakimbiwa kitu gani ?