Something From Nothing

Something From Nothing

Kukariri sio kosa,ndo mana na wewe hata wewe umecomment hapa zaidi ya mara ,maana yake ni kwamba umekariri la sivyo ungepozea uzi.Hata kuitaja tarehe yako ya kuzaliwa,ama hta ulichofanya jana maana yake umekariri.

Kuhusu kumfikia Einstein,nani kakwambia kwamba mi nina malengo ya kumfikia ama hata tu kijifananisha naye!?sina haja hiyo.
Tafuta kitabu changu kinaitwa Free ideas (2008/9)usome may be utapata maarifa,(Tsh.15000,)

Hicho kitabu umeandika kwa kutumia kichwa kingine zaidi ya hiki unachotumia kufikiri yale unayo yaandika hapa ? Kama ni kichwa kimoja na hiki utumiacho hapa, kutumia 15,000. ni ubadhirifu...
 

Hicho kitabu umeandika kwa kutumia kichwa kingine zaidi ya hiki unachotumia kufikiri yale unayo yaandika hapa ? Kama ni kichwa kimoja na hiki utumiacho hapa, kutumia 15,000. ni ubadhirifu...

Hahaha,mkuu usidharau kazi yangu maana hunijui
 
Hi!,wanajamvi. Swali hilo juu huwa ni moja ya maswali magumu ambayo wengi huwa wanabaki njia panda,hasa linapokuja swala la kufafanua,,IWEJE TUPATE KITU PASIPO KITU?(sina uhakika kama ni tafsiri sahihi),yaan how can we get something from nothing?,

Watu wengi hasa wenzetu WANAOAMINI katika dini na MUNGU/MIUNGU huwa hawatuelewi kabisa kuhusu hili.
Nitajaribu leo kufafanua kwa kina(kadri nijuavyo mimi) kwa faida ya wengi,kuhusu,KUAPATA KITU PASIPO KITU.(sina uhakika kama ni tafsiri sahihi). Karibuni....

Katika nyanja ya Evolution,ina maanisha ni jinsi gani unaweza kupata Immense complexity and diversity and beuty and elegance of life,na zaidi ya hapo,inaonesha ni jinsi gani unaweza kupata Powerful Illusion of design ambayo uhai unaonesha,ambayo ninaweza sema sio kutoka katika HAKUNA(nothing),(not quiet from nothing)ila kutoka katika Extreme Simplicity.

Kabla ya Darwin kufanya utafiti uliopelekea kila kitu kuwa wazi,ilikuwa ni vigumu sana kuamini/kueleza jinsi gani unapata/kuna Vitu kama Ubongo,macho,miguu,mabawa ya ndege,n.k.Ilikuwa n ngumu sana kujua vipi unaweza kupata vitu vilivyo vizur machoni na vyenye mpangilio maalumu vinavoonekana kama vimepangwa(designed).

Darwin alitoa confidence na kuonesha kuwa kinachoonekana ni ugumu wa ufahamu wa kupata kitu pasipo kitu,alisove na waliofuata pia walikuw wakiendeleza kazi yake tangu kipindi kile.

@@@@But what is NOTHING,and how can we have something from Nothing...

Ni kwel kabisa,kwamba The Universal came from nothing due to what we know about the Universal up to this time,here is the proof of my above Arguments.

""Nothing is UNSTABLE,that empty space is UNSTABLE,Laws of mechanics combined with GRAVITY will tell you that,if you have Empty space there and you wait for the long enough,particles will be CREATED,and if you wait more enough,empty space will allways produce a UNIVERSAL full og MATTERS,
So NOTHING is unstable (sijui kama naeleweka hapa).

The case here is NOTHING (Empty space),creating something (Universal /Earth).
But ist the empty space nnothing(wengi mtasema no ),Lakini ngoja nikuoneshe pia kwamba EMPTY SPACE nayo inaweza ikawa product ya nothing,na hapo nadhan hakuta kuwa na swali tena.

Hapa nakuja katika laws za kifizikia,ama NATURAL FUNDAMENTAL LAWZ,
Ambzo zinaelezea kiundani jinsi ambavo kanuni na misingi ya kuwepo hewa tupu,space na mazingira ya utokeaji wa kila kitu kinachohitajika kufanyika kwa kitu husika(sina haja ya kuchima sna ntapoteza maana ya uzi,waweza uliza katika mjadala na nitajibu.),@@@@


Nothing niimanishayo katika upande wa Evolution sio,Completely nothing,lakini ni kutoka katika resonable complicated beginning ambayo ilikuwa ni first self replication molecule(maana completely nothing imesha tengenza UNIVERSAL na sasa ni evolution .).

Lakini tukumbuke kwamba Natural selection haiwezi kwenda kama hakuna genetics.,na hilo ndo tatizo ambalo halijasoviwa.Namaanisha hadi sasa hakuna anayejua Genetics zilivoanza.Lakini tunajua kwamba Kanuni za chemistry lazima zianzishe self replicating molecules,Kisha EVOLUTION inatake place.

Na kuanzia hapo sasa,aina zote za diversity na viumbe kama mimi na wewe ndo tukawa into existence,lakini haya yote lazima yaanze na GENETICS,hapo mapungufu ya chemistry yanaonekana,lakini kabla hatujailaumu chemistry kwa kukosa ufumbuzi wa genetics inabidi tuanze na physics !

Uhai katika dunia ulianza miaka 3.5bilion ilopita,katika kipindi cha Cambrian explosion.
Katika mika 4.5bilioni ilopita, ambayo ni kadirio la umri wa dunia, hakukua na bacteria.So katika miaka 3.5bilion ilopita uhai ukaanza taratibu katika dunia kutokana na Nitrogen ,Helium Hydrogen pamoja na hewa nyingine ndogo ambazo zilitokea katika spaces/sky baada ya Explosion.

Baadhi ya watu husema,We don't understand the origin of life on Earth ,so GO,D must done it!(kamba hatuelewi mwanzo wa uhai katika Dunia,kwa hiyo lazima mungu ndo alihusika).SI KWEL,.....


Ninachojua mimi,mapungufu yaliyopo katika Sayansi hayamuumbi Mungu,wala hayasababishi Awepo .,Sayansi inakuwa kila kukicha.Kama ni hivo basi atakuwa ni MUNGU wa mapungufu,(GOD OF GAPS),ambaye anaonekana tu katika few remaining Gaps in our understandings.Nikukumbushe pia kabla ya Darwin na wengine,uhai na uwepo wetu,Miili na jinsi ifanyavyo kaz ,ilikuwa inaonekana kama miracles.Hakuna aliyeweza kusema nini ni nn na kila kitu ilikuw akaz ya mungu.
Amini nakuambia hata mwaka 300AD,watu walikuwa wakiamini vitu kama Tsunami,Floods,Volcanic eruptions,Earthquake n.k ilikuwa kaz ya MUNGU,kama adhabu.Lakini leo vinaelezeka na kutabiriwa na mamlaka za hali ya Hewa na onyo linatolewa . Nachotaka kusema hapa ni kamba sayansi ,,inakuwa,, na itafumbua kila kitu.
,Kwangu mimi huwa naona kama n dalili za udhaifu ninaposikia kauli mfano,,""I DONT UNDERSTAND IT,THEREFORE GOD DID IT"" this is the kind of lazy argument.It doesn't help anything,but it leaves opens, since it doesn't explain even where God came from.

Kitu kikubwa alichofanya Darwin ni kuonesha ama kujuza ni jinsi gani unaweza kupata God like things/complex things (like humani Brain) kutoka katika omni nothing.

Ngoja niongelee kidogo CONCEPT YA EVOLUTION,maana najua ntaulizwa mbona manyani hayabadiliki siku hiz..

Watu wengi wanadhani kwamba EVOLUTION,inaonglea/inahusu manyani/masokwe kumzaa ama kugeuka binadam,!,ni hiv,Miaka kama milioni 25,ilopita Human being(watu) walikuwa""Common Ancestor "",NA MONKEYS ,CHIMPANZEE ,GORILLAZ n.k.Hili ndo jambo gumu watu kuelewa,Kwa kiswahili ni kwamba ,HATUKUWA MANYANI WALA MASOKWE BALI TULISHARE BAADHI YA TABIA ,VITU,UMBO,MWONEKANO n.k.,huwa napata shida sana kuelezea jambo hili.So 25,yearz ago our ancestors might have look like monkey,gorillaz,or chimpanzees.Narudia,tena neno MIGHT HAVE LOOK LIKE,NOT THEY WERE MONKEYS !,hata hivo uchunguz unaonesha tuko na ufanano wa karibu zaidi na CHIMPANZEE kuliko chimpanzee walivo na ufanano na gorillaz ama monkeys.

Je,evolution inaendelea?,hili swali ningelipata bila shaka,jibu ni NDIO,...

Inaendelea lakini its too slow for us to see,kumbuka tunaishi kwa miongo michache na pia evolution its too slow to be noted easy .We can see it in Bacteria only too visibly ,because thats y,ant-biological resistance is such a big problem and more immensely important medical problem.Take this ,if the doctors at the time of invention of penicillin which Darwin wishes about them,they would been able to predict that resistance to ant-biotic.refers the book known as,, THE SCIENCE OF DARWINIAN,, MEDICINE .another vivid example of the continuation of Evolution is just look ok history,try to observe the physical appearance of the people live in 14c,15c or even 7century,you may not a lot of differences comparing to us.

Presence of INTELLIGENT DESIGNER ?,

This logic is too low and poor!,
I an prove that there is NO Intelligent designer
1,There is no EVIDENCES ON THAT ARGUMENT
2.BY HIS RESPONSIBILITY.

This person God of tje JUDAISM ,CHRISTIANS,ISLAMS has nothing to do with the God who cares about us.Na katika uwanja wa Sayansi ,tukisema kama mapungufu yaliyopo yahusiane na mungu,hatuta muhusisha mungu nafsi!,,The same God created lawz of physics ?. Na kama katika Sayansi kukihitajika kuwa na Mungu,basi atakuwa DIASTIC GOD,And he is very very different from the Gods of religion ,na huyu ndiye aina ya kitu tunatumia muda kumuelezea.

Intelligence inakuja baada ya muda mwingi baada ya EVOLUTION,starting from nothing as we know and then chemistry takes over,Biology,.

Kwa hiyo katika dunia kunaweza kuwa na Gods like humani being.Nakubali kwamba kunaweza kuwa na life forms than us,ambao tukikutana tutabidi tuwapigie magoti LAKINI WATABAKI KUWA ZAO LA MUENDELEZO(the product of the process ),of evolution devlpmt.they will not be GOD,S In the sense that having created the laws of physics,or tje universal or life!.

Let me end up here,karibun...
God or "means of Life initiation" or "Super being" exists, as you have clearly showed everything required sparkle of initiation ( genetics yet to be explained), who brought forth this? Good science will in deed go through footsteps of the creator. As a christian with a bit of science mind I continue to witness creator hand in different ways.
You being a denial of very force that brought forth that sparkle blinds you from finding the truth.
As I speak scientist are investing concept of more than 3 dimension world this if can be understodd will shock the future world.
But wait people like you will find out the hard way, I only pray you open your thinking world by first considering existence of such a super being, who I call God and try to understand creation and the universe.
 
God or "means of Life initiation" or "Super being" exists, as you have clearly showed everything required sparkle of initiation ( genetics yet to be explained), who brought forth this? Good science will in deed go through footsteps of the creator. As a christian with a bit of science mind I continue to witness creator hand in different ways.
You being a denial of very force that brought forth that sparkle blinds you from finding the truth.
As I speak scientist are investing concept of more than 3 dimension world this if can be understodd will shock the future world.
But wait people like you will find out the hard way, I only pray you open your thinking world by first considering existence of such a super being, who I call God and try to understand creation and the universe.

Ok,but may you please prove the existence of God?
 
Ok,but may you please prove the existence of God?
hakuna science ya kuprove Imani which is a necessary tool to understand God existence, but this does not mean God does not exist , you said it yourself in the past some of the current technologies were considered impossible, as per word of God its per thy Grace we are chosen to be his (this will not be understood since current science is obsolete to prove it), the chosen have exeperience God's existence and the call is available to ALL, including you.
 
hakuna science ya kuprove Imani which is a necessary tool to understand God existence, but this does not mean God does not exist , you said it yourself in the past some of the current technologies were considered impossible, as per word of God its per thy Grace we are chosen to be his (this will not be understood since current science is obsolete to prove it), the chosen have exeperience God's existence and the call is available to ALL, including you.

No exclude me from the list please ,I don't an i will not believe in your GOD
 
No exclude me from the list please ,I don't an i will not believe in your GOD
Bakia kwenye mada yako.

anti-atheism-big-bang.jpg
 


Kwanza kabisa hongera maana hujajibu kwa matusi na kashfa kama kawaida yako.Maana ningekutana na tusi na kashfa nisingejibu hii hoja yako japo sio hoja ni muendelezo wa kitu kile kile ninachojibu kila siku.Haya kamata majibu yako na maarifa hapa chini...

Ushahidi wa Ulimwengu kuwa dhaifu upo wazi,Magonjwa,Umasikini,utajiri,majanga,maafa,watu kuzaliwa vilema wakati mungu hakuumba kilema,.Kumbuka Hakuna kitabu cha dini kinachoeleza sababu ya mtoto kuzaliwa kilema,ama mwenye ukoma aliupataje (zamani waliamini ni laana.),.Sayansi pekee(Biology) ndio itakueleza kwa nn.Hakuna Koran wala Bible inayofafanua sikoseli,wa wala appendix.

Mungu(kama yupo) aliye mkamilifu alisahau kwamba mwanadamu atapata appendex na kufa??,Bila juhudi za sayansi(operation ) mngesema ni kaz ya mungu ama mungu kapenda kama kawaida yenu.


Umejifunga kuhusu mto,kama kutokuonekana kwa mto haimaanishi kwamba Hakuna mto,Iweje kutokuonekana kwa Mungu imaanishe yupo?Je unapinga nn sasa?(tafakari)

Free ideas sio jina la watu,hata wewe unaruhusa ya kulitumia iwapo ukiwa na mawazo huru kama mimi.

Mto unaopita chini ya Ardhi tanzania sio ajabu ndugu il mradi ithibitike kwel kuna mto hata nisipouona nipate ushahidi wa uwepo wake.Tatizo niwe we kushindwa kuthibitisha uwepo wa Mungu wako .



UNafaham maana ya free will?,ama freedom ?.Mungu wako kakupa Freedom ?.Nahisi hujui ulichoandika hapa .Iweje akupe uhuru wa kuamua unalopenda kisha akwambie ufuate anayotaka yeye?.,Uhuru gani unahukumu?.Kwa nn akuhumuku nawakati alikuwa Free will?(tafakari).Hakuna uhuruu katika imani kijana acha kujifariji Hizo ni Amri.

Sina haja ya kukufahamu Ishmael maana sio lazima,kwa hiyo hiyo sio hoja kwamba nimekufahamu hapa.

Kuhusu Big bang kasome web hiyo hiyo uliyokopy hicho kipande cha mwisho badili tu pale juu andika The Big bang theory.,Ila angalia isije ile comedy ya kimarekani ukadhani ndo majibu...
 
Last edited by a moderator:
Free ideas, Baada ya kuimba hapo juu, sasa turudi kwenye mada yako ya nihilo ex nihilo. Inaoneka hoja na au madai yako yamekushinda na ukaamua kukibilia ile issue ya existence of of God. Who do you compare God with?

The main issue here katika hoja yako ni hii hapa: SASA USISEME OOOH nimekutukana maana nyie wapinga Mungu sijui kama mna weza nipa ushaidi wa kutukana na kama upo kwenye sayansia. Kaazi keli kweli.

Kwa kutumia FACTS zenu nyie mnao dai na kujiita wanasayansia, iganawa hata sie tupo huko, ni KIVIPI explosion ya big bang ITOKEE ex nihilo, I mean, for explosion to occur inahitaji something to explode into.

Kama ex nihilo existed before the big bang, hivyo kulikuwa hakuna platform ya explosion kutokea. Katika kesi hii ambayo unadai kuwa enormous bang had once occurred inaweza tu kuwa hivyo kama framework ya setting which was every bit a part ya physical world as kama ulimwengu ulivyo hii leo.

Kwa maneno mengine Big Bang ililipuka katika ulimwengu wa kimwili ambao ulikuwa tayari Extant kabla ya kutokea. Aidha njia hii inathibitisha kwamba Big Bang sio na imeshindwa kuhusishwa na uumbaji wa mambo yote.


 
Again, you do not know what a theory is.

A theory explains a fact. Most theories are not assumptions, they are a tested and living bodies of knowledge that explain facts. For example, gravity is a fact. The theory of gravity explains gravity.

Without the knowledge of the theory of gravity and the theory of electromagnetism, we would not have cell phones, airplanes, satellites, the space station, electricity-as we know it-, cars, trains, etc.

Without understanding germ theory, we would not have vaccines, and all the treatments used in modern medicine.

Without the quantum theory we would not have the computers and the internet you are harping on.

You really ought to understand these concepts you are so eager to bash.
Which come first; theory or law,once a theory is proved to be accurate then it become a fact.So theory is nothing but assumption trying to explain uncertain facts. Soma vizuri mkuu kabla ya kuja kubwatabwata huvyo.
 
Free ideas, Baada ya kuimba hapo juu, sasa turudi kwenye mada yako ya nihilo ex nihilo. Inaoneka hoja na au madai yako yamekushinda na ukaamua kukibilia ile issue ya existence of of God. Who do you compare God with?

The main issue here katika hoja yako ni hii hapa: SASA USISEME OOOH nimekutukana maana nyie wapinga Mungu sijui kama mna weza nipa ushaidi wa kutukana na kama upo kwenye sayansia. Kaazi keli kweli.

Kwa kutumia FACTS zenu nyie mnao dai na kujiita wanasayansia, iganawa hata sie tupo huko, ni KIVIPI explosion ya big bang ITOKEE ex nihilo, I mean, for explosion to occur inahitaji something to explode into.

Kama ex nihilo existed before the big bang, hivyo kulikuwa hakuna platform ya explosion kutokea. Katika kesi hii ambayo unadai kuwa enormous bang had once occurred inaweza tu kuwa hivyo kama framework ya setting which was every bit a part ya physical world as kama ulimwengu ulivyo hii leo.

Kwa maneno mengine Big Bang ililipuka katika ulimwengu wa kimwili ambao ulikuwa tayari Extant kabla ya kutokea. Aidha njia hii inathibitisha kwamba Big Bang sio na imeshindwa kuhusishwa na uumbaji wa mambo yote.



Sijajua kama umesoma na kuelewa uzi wangu,ama hujasoma kabisa,kila kitu ulichouliza nimejibu humo
 
Sijajua kama umesoma na kuelewa uzi wangu,ama hujasoma kabisa,kila kitu ulichouliza nimejibu humo

Umeshindwa kujibu swali au huna uwezo wa kujibu swali? Uzi wako ni creation ex nihilo. Caption yako inazungumza loud and clear.

Ndio maana nilikwambia, kwanini unakimbia mada yako uliyo ianzisha?
 
No exclude me from the list please ,I don't an i will not believe in your GOD

Then you are just the same as ancient critics who refused an idea that a machine could carry people and flew (now we call airplane or helicopter).
Or you have chosen to align yourself with other side:flame:
 
Then you are just the same as ancient critics who refused an idea that a machine could carry people and flew (now we call airplane or helicopter).
Or you have chosen to align yourself with other side:flame:

Hayo n mawazo yako
 
Which come first; theory or law,once a theory is proved to be accurate then it become a fact.So theory is nothing but assumption trying to explain uncertain facts. Soma vizuri mkuu kabla ya kuja kubwatabwata huvyo.

What are you talking about? Did you even understand what I wrote?
 
Umeshindwa kujibu swali au huna uwezo wa kujibu swali? Uzi wako ni creation ex nihilo. Caption yako inazungumza loud and clear.

Ndio maana nilikwambia, kwanini unakimbia mada yako uliyo ianzisha?

We majibu si huyaoni na unataka ujibiwe kwa namba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom