Ubabaishaji wa hali ya juu!Kwa nini usimuulize waziri mwenzako wa nchi ya Zanzibar? AG ametueleza ni nchi au siyo!Waziri wa uchukuzi na mawasiliano wa nchi hiyo amesema jambo kuhusu hilo.
Kuna laana gani imewapata. Watu waliopewa mamlaka makubwa ya kuamua mambo ya nchi yetu wamegeuka wababaishaji kiasi hiki?
Mmechokoza wakubwa kisha sasa mnaleta uswahili swahili, uyani yani,mtashughulikiwa.
Tuanawaomba wakubwa wajuwe kwamba watu hawa hatari ni ccm, magamba. Siyo Watanzania wa kawaida ila ni vibaka wa kitaifa ndiyo wanaoleta za kuletwa. Wawekeeni vikwazo vya kuja shopping ulaya na Mrekani.
Kuna laana gani imewapata. Watu waliopewa mamlaka makubwa ya kuamua mambo ya nchi yetu wamegeuka wababaishaji kiasi hiki?
Mmechokoza wakubwa kisha sasa mnaleta uswahili swahili, uyani yani,mtashughulikiwa.
Tuanawaomba wakubwa wajuwe kwamba watu hawa hatari ni ccm, magamba. Siyo Watanzania wa kawaida ila ni vibaka wa kitaifa ndiyo wanaoleta za kuletwa. Wawekeeni vikwazo vya kuja shopping ulaya na Mrekani.