The Biggest IQ
Member
- Nov 24, 2010
- 54
- 3
watu tumekuwa tukingojea sana ni siku gani tutafanya yale waliyofanya wenzetu wa Tunisia,Misri na sasa Libya.Habari za kuaminika zinadokeza kwamba ifikapo April mwaka huu serikali ya 'Mkwere' lazima itoke madarakani.
Chanzo hicho kutoka 'Nyumba kuu'iliyopo Magogoni kinasema kwamba hata baba mwenye nyumba ameshaanza kuitisha vikao mfululizo vya kiusalama vikiwahusisha na wakuu wetu wa 'magwanda'wakijadili ni kwa vipi wataepusha zahma hiyo.
Chanzo kinadokeza kuwa hali ni tete hofu imetanda huku kikitanabaisha kuwa waongozaji wakuu wa sakata hilo la kutaka baba mwenye nyumba kuachia nyumba ifikapo mwezi April mmojawapo ni waziri mkubwa tu ambaye kwa sasa yupo nje ya nchi kikazi ila akiratibu kikamilifu mipango hiyo.
Hali hii imepelekea hata sakata la Gongo la Mboto kutokuchukuliwa uzito na nguvu zote kuelekezwa kwenye zahma ya April.
Nawakilisha.
Chanzo hicho kutoka 'Nyumba kuu'iliyopo Magogoni kinasema kwamba hata baba mwenye nyumba ameshaanza kuitisha vikao mfululizo vya kiusalama vikiwahusisha na wakuu wetu wa 'magwanda'wakijadili ni kwa vipi wataepusha zahma hiyo.
Chanzo kinadokeza kuwa hali ni tete hofu imetanda huku kikitanabaisha kuwa waongozaji wakuu wa sakata hilo la kutaka baba mwenye nyumba kuachia nyumba ifikapo mwezi April mmojawapo ni waziri mkubwa tu ambaye kwa sasa yupo nje ya nchi kikazi ila akiratibu kikamilifu mipango hiyo.
Hali hii imepelekea hata sakata la Gongo la Mboto kutokuchukuliwa uzito na nguvu zote kuelekezwa kwenye zahma ya April.
Nawakilisha.