Some Bedrooms.......Goood night.

Some Bedrooms.......Goood night.

donlucchese

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2011
Posts
17,258
Reaction score
22,130
bed.jpg Luxury-French-Bedroom-Ideas.jpg romantic-bedroom-candles-rose-petals1.jpg Swimming-pool-with-bed.jpeg
 
Hapo kwenye second and third nitalala bila hofu usingizi mnono...Lakini hiko cha kwanza mhh..kama mtu ana sleep walk si ni suicide commission hio..Najijua tayari naongea usingizini na utotoni nikitembea sithubutu kulala hapo labda kama na jicho moja wazi!!
 
Hapo kwenye second and third nitalala bila hofu usingizi mnono...Lakini hiko cha kwanza mhh..kama mtu ana sleep walk si ni suicide commission hio..Najijua tayari naongea usingizini na utotoni nikitembea sithubutu kulala hapo labda kama na jicho moja wazi!!

Hahah, mkuu huwezi kufanya kazi usalama wa taifa, utatoa siri zote za nchi usiku.
 
Hapo kwenye second and third nitalala bila hofu usingizi mnono...Lakini hiko cha kwanza mhh..kama mtu ana sleep walk si ni suicide commission hio..Najijua tayari naongea usingizini na utotoni nikitembea sithubutu kulala hapo labda kama na jicho moja wazi!!

Kama sungura hahhahahaha macho nusu wazi
 
Hahah, mkuu huwezi kufanya kazi usalama wa taifa, utatoa siri zote za nchi usiku.
Nakwambia hapa hakuna siri kuna siku nililala,jamaa akauliza niliksikia jana usiku ulikuwa unaongea na nani kwenye sim?Mi nikamwambia hata mbona sijaongea na sim,nilikuwa nimelala!!Akasema ulikuwa unaongea na unapaus kusubiri jibu,lakini anajua nina historia ya kuongea usingizini akapuuzia...Aisee unaweza uite hata jina la mtu mwengine salaleh...
 
Nakwambia hapa hakuna siri kuna siku nililala,jamaa akauliza niliksikia jana usiku ulikuwa unaongea na nani kwenye sim?Mi nikamwambia hata mbona sijaongea na sim,nilikuwa nimelala!!Akasema ulikuwa unaongea na unapaus kusubiri jibu,lakini anajua nina historia ya kuongea usingizini akapuuzia...Aisee unaweza uite hata jina la mtu mwengine salaleh...

Sasa waongea tu na vitendo hufanyi? Me mdogo wangu anakaa kitako anasema weee alafu analalaa hahahha tena
 
Shosti wango muoga huyu lol
Hilo la kuongea halina shobo naogopa nisije nikatembea usingizini nakutmbukia kwenye hilo pool maji yana kina kirefu na kuogelewa shostio siwezi...Bado uhai nautaka lol
 
Me nshawah kuumbuka mwenzio si niote na do acha nianze screaming dada angu alinipa bonge kofi.
Yallah mbavu zangu...Nimecheka mpaka nimelia haaaaa hio ilikuwa kiboko...Ulipopigwa hilo jikofi ikawaje?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom