Some Bedrooms.......Goood night.

Some Bedrooms.......Goood night.

kuna mtu nilisoma nae chuo alikuwa chotara wa kihindi na kinyakyusa alikuwa anaoya usiku kwa sauti mara aitikie karibu, mara aseme watoto wazuri hamjambo katikati ya usingizi usiku wa manane, basi sie tulikuwa tunachekaaa hahahaaa
 
Nakwambia hapa hakuna siri kuna siku nililala,jamaa akauliza niliksikia jana usiku ulikuwa unaongea na nani kwenye sim?Mi nikamwambia hata mbona sijaongea na sim,nilikuwa nimelala!!Akasema ulikuwa unaongea na unapaus kusubiri jibu,lakini anajua nina historia ya kuongea usingizini akapuuzia...Aisee unaweza uite hata jina la mtu mwengine salaleh...

hahahaaa.... mimi49 we haufai aisee waweza mwaga siri za watu hivihivi
 
Last edited by a moderator:
kwa mimi binafsi siwezi kupata usingizi sehemu kama hizo...nshazoea mwananyamala kwa bibi
 
Ivo vitanda kweli vizuri na viko sehem tulivu, watu wengi watapenda walalie. Lkn believe me kama umezoea tanda la ovyo ovyo, na sehemu yenye zogo, ukiekwa sehem kama hio itakuchkua hata mda wa wiki nzima ndo upate huo usingizi mnono. Mimi nakumbuka zamani age kama 20 ivi, nlienda kwa mkubwa flan alikua best wa uncle wangu, ambae anaishi UK, basi chumba nlokaribishwa kulala ilikua full ac. Sikulala mpk asubuhi, baridi hata bedcovers nlikua naona hazisaidii. Nshaizoea kwetu joto, na likizid waweza lala hata na chupi
 
Mhhh....Inakuwa sio fair ukisema hivo kwasababu sijui nilitendalo...Nina app fulani natumia kujirecord kusikia nasema nini sometimes!!

m just thinkig that mamii hivi ikitokea umeenda safari na kushare cost umelala na mate sasa si chumba cha home.utakiweka wazi na mambo yote ya faragha,..imagine farkhina angekuwa kalala na wifi yake!!!!
 
m just thinkig that mamii hivi ikitokea umeenda safari na kushare cost umelala na mate sasa si chumba cha home.utakiweka wazi na mambo yote ya faragha,..imagine farkhina angekuwa kalala na wifi yake!!!!
Sio kwamba naongea always...wakati mwengine nalala thru all night sisemi kitu..Nimechunguza hilo kupitia ile app nilokutajia..Nadhani stress zikinizidi ndo nacharukwa..Nilishare room na shogaangu akaniambia once ulikuwa unaongea lakini hutamki maneno vizuri kwahio sisikii unasema nini...
 
Hahaha, hivi ile technology ya kurecord dreams kwa kifaa fulani ambacho kinapima brain waves imeshafika tz?

Uamuzi tu mkuu kama watu wana push guzzlers hiyo mambo inawezekana pia!!!!!But for what ndio issue...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom