OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,574
Sio kwamba naongea always...wakati mwengine nalala thru all night sisemi kitu..Nimechunguza hilo kupitia ile app nilokutajia..Nadhani stress zikinizidi ndo nacharukwa..Nilishare room na shogaangu akaniambia once ulikuwa unaongea lakini hutamki maneno vizuri kwahio sisikii unasema nini...
Better placed kumbe
Wewe ungekuwa mke wangu nikisafiri siku ya kurudi ni kukujaza stress mwanzo mwisho ili usiku unibwagie ma how deep is your love!!!