Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 14,185
- 22,591
mkuu nisamehe kwa kukupiga pesaMi nilichapwa 1M mzee baba na haikuwa yangu you can imagine nilikuwa na wakati mgumu kiasi gani
shemeji yako alikuwa na shida na tentemente
mkuu nisamehe kwa kukupiga pesaMi nilichapwa 1M mzee baba na haikuwa yangu you can imagine nilikuwa na wakati mgumu kiasi gani
Hahamkuu nisamehe kwa kukupiga pesa
shemeji yako alikuwa na shida na tentemente
Asante kwa kunipa moyo
Mie niliibiwa kwenye daladala 6.4 M mwezi uliopita tena ya Ofisi, nikitembea nahisi moyo unachomoka nikikaa nahisi hivyo hivyo ni mateso ambayo sijawi kuyapitia toka kuzaliwa kwangu.
Pole sanaMie niliibiwa kwenye daladala 6.4 M mwezi uliopita tena ya Ofisi, nikitembea nahisi moyo unachomoka nikikaa nahisi hivyo hivyo ni mateso ambayo sijawi kuyapitia toka kuzaliwa kwangu.
Duuu pole sana, maisha haya yana mengiKwenye harakati za utafutaji kupoteza ni sehemu ya maisha.
Jambo la msingi ni kupambana kupunguza risk za kupoteza.
Mimi nilifanya kazi za usiku, nikakusanya zaidi ya 1M nikaenda kulima mihogo huku Kibiti. Haikurudi hata 100.
So, ni kawaida tu.
Asante sanaPole sana ndugu. Cha msingi umejifunza, next time utakuwa makini zaidi na kurekebisha makosa. Chukua kilichotokea kama stepping stone and start again.
Mkuu vip hizo tracker huwa wanazichomoa kumbe wanafanyaje....??Yani ulimpa deiwaka au mkataba?
Hukufunga tracker kwenye chombo?
Hamkupeleka mkataba serikali za mitaa ukasainiwe akiwa na mashahidi zake na picha zao wote passport?
Pole mkuu mimi ulitaka kunitokea mchezo kama huo, bahati nzuri nilimkamata boda wangu maeneo flani akiwa kajiachia vizuuri na boda langu, hapa tunaongea nimechukua boda na pesa yangu 400k+ ataitema, N.B tracker aliichomoa.
Asante sanaPole sana mkuu.
Bro 6.4 unatembea nayo kwa daladala.Mie niliibiwa kwenye daladala 6.4 M mwezi uliopita tena ya Ofisi, nikitembea nahisi moyo unachomoka nikikaa nahisi hivyo hivyo ni mateso ambayo sijawi kuyapitia toka kuzaliwa kwangu.
Damn https://jamii.app/JFUserGuide you,hongera,kuna watu wako kama fisi ukikosea imekula kwakoWapendwa wanajf habari za usiku,
Leo akili imetulia nimeona nitoe simulizi fupi ya jinsi nilivyoweza kupoteza tsh 1.8M.
Mara baada ya kugraduate pale SUA na (BSC GM) na kushindwa kupata tempo nilijichanga katika kazi mbalimbali kama nyuzi zangu baadhi za nyuma zilivyoelezea mishemishe zangu ikiwemo shughuli za mchanga, tofali na tuition centre.
Kwa mwaka 2020 nilifanikiwa kukusanya kiasi cha shil milion 2 na laki 4 na niliamua hii pesa isikae benk tu kwavile bado naendelea kufight na mambo mengine basi niliamua kufanya biashara ya bodaboda.
Nilinunua bodaboda iliyokaribia kuisha kwa mkataba kwa tsh. 1.8M na kumkabidh mtu aendeshe kwa makubaliano tuliyoafikiana. Nilikuwa namfahamu lakini nilikua simjui sana kiundani na ndugu zake sana nilikuwa siwafahamu sana.
Nadiriki kusema nimeweza kupewa mrejesho wa siku 10 pekee na muda huu navyoongea zimepita takribani wiki 3 sijaweza kuonana wala kuwasiliana na dereva wangu, polisi nimeripoti kwa kufata taratibu lakini sioni matumaini ya kupata chombo changu, sijui mwenzangu ni mzima au ameaga dunia, nimejarbu kufatilia watu wake imeonyesha ni mhamiaji katika maeneo ya mkoa niliopo.
Nawaza sana, nimeweza kupoteza pesa niliyoitafuta kwa jasho sana ndani ya mwaka mmoja, nikiri sikuweza kulala kwa siku 2 mfululizo, Nimeamini hii dunia haina huruma.
Kuna muda nawaza ile hela bora ningeweka tu, kuna muda nawaza sana nikiona mtu anaongelea pesa tu nawaza zile pesa zangu, nimebaki na kiasi cha laki 5 kwenye akaunti yangu nawaza lini nitafika tena kwenye milioni mbili na laki 4.
Kuna muda huwa nawaza sana nikifikiria njia ngumu nilizoweza kupata hii pesa na njia rahisi ilivyoweza kupotea hii pesa, kuna muda niliona haya maisha hayana maana na kupitia huu mkasa i was so harsh, niliweza hadi kuseparate na mtu wangu, Ok ni hayo tu nimeona nishare nanyi wakubwa.
Muwe na usiku mwema.
Mkuu Acha aibu hii.. wacha kulilia 1.8M, anyways mara kibao huwa nakumbusha tu.. Boda sio Biashara ya kuwekeza.
Kwa utafiti wangu nimegundua ngozi nyeusi hatiwezi kufanya Jambo bila kukichafuaPole sana kaka, tambua kuwa changamoto ni sehemu ya maisha. Kila jambo hutokea kwa sababu zake, usiogope, pia jifunze kupokea dissappointment; maisha yana mambo mengi sana.. na kimsingi dunia imejaa changamoto kuliko mtelezo.
Kuna watu wamepitia na wanapitia changamoto zaidi ya zako
Tambua ktk kutafuta kuna kuanguka na kuinuka, hasa ktk masuala ya fedha: unavyoingia katika mfumo wa biashara, kupata hasara au kufilisika ni jambo la kawaida sana.
Mwachie Mungu, endelea kupambana na utapata zaidi ya hiyo.
Mungu awe pamoja nawe
HahaaKwa utafiti wangu nimegundua ngozi nyeusi hatiwezi kufanya Jambo bila kukichafua
Wee.!Milioni 6.
Tofali 800= 800000
Cement 10= 150000
Mchanga = 150000
Nondo= 150000
Bati = 500000
Madirisha manne = 800000
Mbao = 300000
Ufundi = 500000
Chumba na sebule umehamia na chenji