BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,732
- 5,010
Ndugu zanguni karibuni kipindi chetu cha jahazi kwanza ya yotesitotenda haki kwa kuwapa aslahaaaaam allheikhum wafuataokwanza nampa aslaaaaaham alleikhum aliekuwa ceo wa actl bW david mattaka ambae pamoja na yotealitoka mahakamani kwa dhaman ya sh million 20 na wengine woteee waliomzamini million kumi kumi naonawapa asalaaaaaaaaaam allheikhum..sisi ndugu zake tuko nyuma yake wakati huu mzitoloooohhhhhhhhhhh we ukae nyuma ya mattaka unamjua vizuri wewe ama ulikuwa unatania arnold kayanda embu mtake radhi kwanza kwa hili ..nahisi huyu bwana amewaweka miguuni wafanyakazi wengi wa clouds kila likifanyika tukio vishambenga hivyo zamani tulizoea mabinti sasa mpaka wanaume anyway bado mna muda wa kurekebishika cameroon amewapa miezi sita hivi vya dezo vitawaumiza