Kwa hili la Mattaka sijui! Ila waendesha vipindi wanakuwa interests na public figures kama hizo, ni wadeclare interests hizo iwe kwa kampuni yao,gazeti,kipindi husika au kama mhusika ana undugu,ujamaa ama mahusiano mengine kabla ya kucomment chochote. Vinginevyo, habari kama wasizitoe hewani.Zinafanya mtu ajitathmini kama anasikiliza kipindi sahihi ama la! Kipindi cha Morning Magic,pamoja na kuwa na urafiki na mmoja wao,hata mimi nawaita clowns! Kwanini? Wana uthubutu wa kuongea kwa maslahi ya mtanzania wa kawaida.. Well and good. Tatizo lao ni upeo wao mdogo,na uwezo wao hafifu wa kuchambua mambo. Japo siwasifii Kayanda na Kibonde,lakini Kawau na Nzowa hawawaingii kiufahamu hao wengine. Labda Mwabulambo ndiye wako naye weight moja.