Naona wewe haupo kiushauri zaidi upo kimipasho zaidi, mana kuna uzi nimeusoma una mipasho balaa.......kwani ulikosa sumu ya kujiua???? Ila humu inategemea umekujaje kuomba ushauri ukija kigreat thinkers utajibiwa vivyo hivyo ukija kiFB utajibiwa hivyo hivyo