KOKUTONA
JF-Expert Member
- Jan 29, 2011
- 8,649
- 6,088
kama umeelewa anachotaka kusema sasa unataka nini? Si uchangie hoja aliyoleta ambayo tayari unaielewa?
Personally, namlaumu jamaa. Kwa sababu, huwezi kushuka na kuacha vitu vya thamani kwenye gari la watu usiowajua. This is something I have never done before and will not do it.
Achilia mbali kuacha vitu vya thamani, kupewa lift na strangers hasa ktk jiji lililojaa laana km Dsm.
Rahisi ghali siku zote. Asingethubutu hata kukubali lift angejipandia tu daladala.