Ulimaanisha Misri?Habari wana JF. Juzi nilikuja na uzi nikimshambulia Flora Mbasha kwamba hana Mungu ndani yake maana anavunja ndoa yake mwenyewe misili ya mtu ambaye hajawahi kusoma hata fungu moja la Biblia, watu walinishambilia sana. Leo nimeona hii video ya Baba yake mbasha akisema Flora alimchoka mwanangu, inasikitisha sana nasikia kulia nikitafakari mke wako mwenyewe tena wa ndoa akikumaliza huku ukiona.
HITIMISHO
Mungu haabudiwi kwa style ya kuimba kwa kupiga makelele na kukata viuno bali tunamuita Mungu awe ndani yetu kwa kuimba nyimbo za kuabudu, ndio maana katika maisha yangu sijawahi kupenda nyimbo za huyu dada pamoja na Rose Mhando sidhani kama mungu atakua ndani kwa ujinga kama ule wa kupiga kelele na kukata viuno.
MithiliUlimaanisha Misri?
HITIMISHO
Mungu haabudiwi kwa style ya kuimba kwa kupiga makelele na kukata viuno bali tunamuita Mungu awe ndani yetu kwa kuimba nyimbo za kuabudu, ndio maana katika maisha yangu sijawahi kupenda nyimbo za huyu dada pamoja na Rose Mhando sidhani kama mungu atakua ndani kwa ujinga kama ule wa kupiga kelele na kukata viuno.
Kijana unamjua mfalme Suleiman? unajua alikuwa anatumia mbinu gani kumuimbia Mungu wake anaemuamini?
Hebu kabla hujaandika mambo ya dini, jaribu kuwa unapitia vitabu halafu unakuja na facts with references!
Mfalme suleiman alimuimbia MUNGU kwa vinubi, alicheza mpaka NGUO ZAKE ZIKADONDOKA CHINI AKABAKI UCHI!
SASA SEMA ALICHEZA AKIWA STATIONARY KAMA JUA?
By the way, wewe ni dini gani? nisije nikawa natwanga maji kwenye kinu..! Kama umeanzisha dini yako ya kula nyasi utuambie!
tupe hiyo video
Kijana unamjua mfalme Suleiman? unajua alikuwa anatumia mbinu gani kumuimbia Mungu wake anaemuamini?
Hebu kabla hujaandika mambo ya dini, jaribu kuwa unapitia vitabu halafu unakuja na facts with references!
Mfalme suleiman alimuimbia MUNGU kwa vinubi, alicheza mpaka NGUO ZAKE ZIKADONDOKA CHINI AKABAKI UCHI!
SASA SEMA ALICHEZA AKIWA STATIONARY KAMA JUA?
By the way, wewe ni dini gani? nisije nikawa natwanga maji kwenye kinu..! Kama umeanzisha dini yako ya kula nyasi utuambie!
Ndugu mfalmw Sulemani alicheza lakini cheza yake haikuwa arranged/ planned alijikuta akipata mizuka na kurukaruka kwa furaha kwa matendo makubwa aliyofanyiwa na Mungu, hawa wakina Rose Mhango wana plan in advance jinsi gani atakata viuno na steps atakazocheza na dancers wake. Umeona tofauti?
Ulimaanisha Misri?
Hamjui wala hajawahi kumsikia MunguHuyu dada amrudie Mungu hata kwa kufunga na kuomba na sijui kama hata anaomba tena.
Huna Point Wewe, Eti Usicheze Ukiimba! Embu Kanunue Biblia Usome Daudi Alifanyeje?
Hili sakata la Mbasha bado linaendelea?