Soko Ubungo kuiua Kariakoo

Soko Ubungo kuiua Kariakoo

Mimi sioni shidA Sana kwa sababu watanzania tumelala sana, wakileta viwanda wakituajiri tunawaibia, kutegea, kulalamika n.k nafikiri walete tu wauze kwa jumla bei rahisi wale wanaouza kariakoo waswahili wenzzetu simu ya laki naa nusu anakuuzia laki nne au tano. sisi tulishaambiwa tuhamie burundi
 
Nahisi itakuwa ni one stop centra ya waagizaji wakubwa. Yaani mizigo mikubwa mikubwa lengo likiwa inchi za maziwa makuu na inchi zisizo na bahari. Halitakiwa ku- compete na kkoo.
Hivi unawajua wachina au wawasikia? Watapeleka mizigo KKOO

Kwanini wasingejenga viwanda?

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Watanzania kwa kulialia, kulalamika hovyo mara wanataka kutuletea ushoga, mara wanataka kuua maskini na bima, mara wanataka kuua viwanda vyetu. Sisi ni wazee wa kulia lia kwenye keyboard wenzetu wanaangalia fursa wanaingia.

Soon Itakuja Train ya umeme Watu wama BUS wataandamana

Be ready for change na ujifunze kurepond accordingly. Wacha watu waweke INVESTMENT mambo yataji balance tu
Hawawezi andamana sababu treni haitaweza beba abiria wote

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Watanzania kwa kulialia, kulalamika hovyo mara wanataka kutuletea ushoga, mara wanataka kuua maskini na bima, mara wanataka kuua viwanda vyetu. Sisi ni wazee wa kulia lia kwenye keyboard wenzetu wanaangalia fursa wanaingia.

Soon Itakuja Train ya umeme Watu wama BUS wataandamana

Be ready for change na ujifunze kurepond accordingly. Wacha watu waweke INVESTMENT mambo yataji balance tu
🤣 🤣 🤣 🤣 train ya umeme??? kwa umeme upi??? huu huu wa kipara ??? train ya umeme sio ya mchezo mchezo mpaka sasa hivi inajengwa reli lakini mabehewa ya Escape from Sobibor. Nchi ngumu sana hii
 
Hiyo si sawa maana wataua kabisa viwanda vya ndani.

Wao walipaswa waje kujenga viwanda ili wananchi wapate ajira, na sio kuleta ready made items

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Usiseme wapate ajira sema wapate vibarua. Kuna mchina anatoa ajira ya maana hapa Tanzania.

Mtu anafanya kazi tokea saa mbili asubuhi hadi saa kumi na mbili kwa ujira wa 5000,huu si ni umasikini wa wazi kabisa.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Sio kwamba tutakuwa tumeletewa China Ubungo ili wafanyabiashara wakanunue hapo bidhaa zao kwaajili ya kuuza?
Wachina wanauza jumla na reja reja. Hata uwawekee sheria kali watauza. Na raia hawataona umuhimu wa kwenda kariakoo wakati anapata bidhaa ya 10,000 kariakoo kwa 4 hapo ubungo, wadhani raia wanataka huu upuuzi wa kujaziwa bei.

Sent from my JKM-LX1 using JamiiForums mobile app
 
Sio kwamba tutakuwa tumeletewa China Ubungo ili wafanyabiashara wakanunue hapo bidhaa zao kwaajili ya kuuza?
Wachina hawakutakiwa kupewa nafasi kuja kuuza bidhaa zao hapa nchini. Wabaki kwao watengeneze kisha wafanyabishara wetu ndio waagize ili ile chain wawe na nafasi ya kuongeza mzunguko wa pesa kwetu na kutengeneza ajira. Kitendo cha Wachina kuja maana yake serikali yao inawakopesha mitaji, wananunua kwa quantity kubwa na makampuni yao kule kwao yanawakopesha na kuwasaidia kuliko wageni hatimaye wanaua ushindani wa kibiashara kwetu.

Majirani zetu kina Congo, Rwanda, Zambia na wengine wanaochukua bidhaa kwetu na kuacha angalau fedha za kigeni kwenye transaction watakuwa wanachukua direct kwa Wachina, ambapo thamani iliyoongezeka itaenda China. Miaka ijayo kutokana na wafanyabishara wetu kuondolewa kwenye uagizaji bidhaa tutabaki na Wachina tu na watakuwa huru kuongeza bei za bidhaa.

Marekani na nchi za Ulaya zilipoenda kuwekeza China hazikwenda kuchuuza bidhaa zao bali kufanya uwekezaji kwenye sekta na kujenga viwanda. Wachina wao wanakuja kuuza hata mabeseni na yeboyebo. Sisi tunafanywa uchochoro
 
Wachina hawakutakiwa kupewa nafasi kuja kuuza bidhaa zao hapa nchini. Wabaki kwao watengeneze kisha wafanyabishara wetu ndio waagize ili ile chain wawe na nafasi ya kuongeza mzunguko wa pesa kwetu na kutengeneza ajira. Kitendo cha Wachina kuja maana yake serikali yao inawakopesha mitaji, wananunua kwa quantity kubwa na makampuni yao kule kwao yanawakopesha na kuwasaidia kuliko wageni hatimaye wanaua ushindani wa kibiashara kwetu.

Majirani zetu kina Congo, Rwanda, Zambia na wengine wanaochukua bidhaa kwetu na kuacha angalau fedha za kigeni kwenye transaction watakuwa wanachukua direct kwa Wachina, ambapo thamani iliyoongezeka itaenda China. Miaka ijayo kutokana na wafanyabishara wetu kuondolewa kwenye uagizaji bidhaa tutabaki na Wachina tu na watakuwa huru kuongeza bei za bidhaa.

Marekani na nchi za Ulaya zilipoenda kuwekeza China hazikwenda kuchuuza bidhaa zao bali kufanya uwekezaji kwenye sekta na kujenga viwanda. Wachina wao wanakuja kuuza hata mabeseni na yeboyebo. Sisi tunafanywa uchochoro
Rais Samia anapita humu wakae wafikirie hili swala sio zuri kwa usalama wa nchi.

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Wageni walitakiwa kufungua viwanda Tanzania, na sio kufanya Tanzania sehemu ya kuleta mizigo yao.

Ubungo panajengwa soko la jumla la Wachina. Hili soko litakuwa lauza bidhaa za kutoka China kwa bei ya jumla, maana yake watashindana na maduka ya kawaida.

Je, serikali imewafikiria Watanzania na yatayotokea huko mbeleni?

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Sasa wewe hutaki vitu vishuke bei? Au unataka vya wakulima tu ndiyo vishuke bei?
 
Back
Top Bottom