HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 72,969
- 102,754
Wageni walitakiwa kufungua viwanda Tanzania, na sio kufanya Tanzania sehemu ya kuleta mizigo yao.
Ubungo panajengwa soko la jumla la Wachina. Hili soko litakuwa lauza bidhaa za kutoka China kwa bei ya jumla, maana yake watashindana na maduka ya kawaida.
Je, serikali imewafikiria Watanzania na yatayotokea huko mbeleni?
Ubungo panajengwa soko la jumla la Wachina. Hili soko litakuwa lauza bidhaa za kutoka China kwa bei ya jumla, maana yake watashindana na maduka ya kawaida.
Je, serikali imewafikiria Watanzania na yatayotokea huko mbeleni?