soko la white Topaz

gelevahekejr

Senior Member
Feb 24, 2014
120
15
Mwenye information ya wapi Nani ananunua na bei anzia naomba kujua kuwa mtu wa Kati pia unaruhusiwa ili nipate
 
IMG_20170503_205632.jpg
 
hivi hii kitu siyo ile nilipewa sample toka singida,nikamuonesha mtu kkoo akasema haina soko?
ngoja nijaribu kukutumia picha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom