Soko la vitunguu nje na ndani ya nchi

Soko la vitunguu nje na ndani ya nchi

juniour12

JF-Expert Member
Joined
Sep 18, 2013
Posts
407
Reaction score
378
Habari zenu wakuu, Jamani nina ndugu yangu ana magunia mengi ya vitunguu almost 300 ametunza store.

Tunaomba anayejua soko zuri la vitunguu nje ya nchi mfano commoro na kwa ndani kama Zanzibar atupe uzoefu wake hatimaye na sisi tuweze kufanikiwa.

N.B. Huo mfano nilioweka ni kulingana na maneno niliyo sikia kwa watu.. Ukizingatia ni visiwa nahisi demand ya agricultural product ni kubwa.

Karibuni wakuu kwa ushauri zaidi.
 
Habari zenu wakuu, Jamani nina ndugu yangu ana magunia mengi ya vitunguu almost 300 ametunza store.

Tunaomba anayejua soko zuri la vitunguu nje ya nchi mfano commoro na kwa ndani kama Zanzibar atupe uzoefu wake hatimaye na sisi tuweze kufanikiwa.

N.B. Huo mfano nilioweka ni kulingana na maneno niliyo sikia kwa watu.. Ukizingatia ni visiwa nahisi demand ya agricultural product ni kubwa.

Karibuni wakuu kwa ushauri zaidi.
PM pls
 
Habari zenu wakuu, Jamani nina ndugu yangu ana magunia mengi ya vitunguu almost 300 ametunza store.

Tunaomba anayejua soko zuri la vitunguu nje ya nchi mfano commoro na kwa ndani kama Zanzibar atupe uzoefu wake hatimaye na sisi tuweze kufanikiwa.

N.B. Huo mfano nilioweka ni kulingana na maneno niliyo sikia kwa watu.. Ukizingatia ni visiwa nahisi demand ya agricultural product ni kubwa.

Karibuni wakuu kwa ushauri zaidi.
Vp mkuu ulifanikiwa kupata mteja? Au bado unavyo hivyo vitunguu?
 
Back
Top Bottom