Soko la tikiti maji

Soko la tikiti maji

TUTU wa Jijia

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2016
Posts
727
Reaction score
564
Wasaalam.
Ndg zangu nipo dar nimelima tikiti natarajia kuvuna kesho.
Naomba mwenye ufahamu wa soko anisaidie..
Nitashukuru.

Asanteni.
 
Mkuu soko la tikiti Maji limebadilika sana!
Siku hizi Dar ndio inapeleka matikiti maji mikoani!
Kwa Mara ya kwanza Jana nimeona Fuso tandam inatoka Dar kwenda Moro ikiwa full Na tikiti Maji!
 
Mkuu soko la tikiti Maji limebadilika sana!
Siku hizi Dar ndio inapeleka matikiti maji mikoani!
Kwa Mara ya kwanza Jana nimeona Fuso tandam inatoka Dar kwenda Moro ikiwa full Na tikiti Maji!

Noma sana,...
 
Kuwa makini na figisu za madalali,bila wao huuz,kesho ungewatembelea ukaongea nao pale buguruni,ilala na sterio kabla ya kuvuna,wanapenda wayafate wenyewe shamba ili wapate zaid
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom