kijani11
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 8,383
- 9,216
Habari zenu wana jukwaa,
Mimi ni mfugaji wa kuku wa mayai ila bado ni mgeni ndo nimeanza kupata mayai wiki chache zilizopita.
Nilipoanza kupata mayai watu walikuwa wanakuja na kuweka order kabla hata hayajatagwa lakini baada ya mda hali imebadilika mayai yamejaaa mtaani naambiwa mayai yamezidi mahitaji bei imeshuka kutoka 7000 tray mpaka 4500-5000 lakini hamna wa kumuuzia hayo mayai
Je hii ni kawaida kwamba kipindi hiki soko hupotea?
Mimi ni mfugaji wa kuku wa mayai ila bado ni mgeni ndo nimeanza kupata mayai wiki chache zilizopita.
Nilipoanza kupata mayai watu walikuwa wanakuja na kuweka order kabla hata hayajatagwa lakini baada ya mda hali imebadilika mayai yamejaaa mtaani naambiwa mayai yamezidi mahitaji bei imeshuka kutoka 7000 tray mpaka 4500-5000 lakini hamna wa kumuuzia hayo mayai
Je hii ni kawaida kwamba kipindi hiki soko hupotea?