msnajo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 3,067
- 1,136
We are in the right track
In Kim Jun Guful voice!!
We are in the right track
Hapana. Ila kwa baadhi ya nchi ni moja ya kiashiria chenye nguvu sana. Na pia soko la hisa kwamfano NYSE au NASDAQ etc ni kisababishi cha kushika au kupanda kwa currency zenye nguvu duniani kama USD etc. Ila kwa Tanzania bado soko lipo chini kiuwezo so halina impact kubwa sana. But linaashiria tu hali ya mzunguko wa fedha.Ivi sojo la hisa pekee ndo kiashiria cha ukuaji wa kiuchumi??
Sent from my TECNO-Y3+ using JamiiForums mobile app
Huu ni uchocheziView attachment 712720
[HASHTAG]#DewjiBlogNews[/HASHTAG]: Mauzo ya Hisa katika Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) kuanzia wiki iliyoishia Machi 2 hadi 9, 2018 yameshuka kutoka Sh. bilioni 2.9 hadi kufikia milioni 518, vile vile idadi ya hisa zilizouzwa na kununuliwa katika soko hilo imeshuka kutoka hisa milioni 2.4 hadi hisa laki 6.9.
Akili ya kiccmHahaha - Hela chafu zakutatatisha hazipo..
Huwezi kuongoza nchi kwa mawazo yako pekee; utakwama. Shirikisha makundi yote kwa ushauri na nguvu ya pamoja; usipofanya hivyo humkomoi mtu ila unalikomoa taifa.Habari kama hizi hushangiliwa sana na chadema.
Leo ufipa watasahau ngada kwa muda ili washangilie
Uko poa wewe?Ccm mbele kwa mbele hapa kazi tu. Tanzania ya viwanda oyeeee
Andika kama una akili... weka facts, acha kejeli ... Kama unataka kupelekwa shule njoo usalimie wazee wako hapa
Kupanda na kushuka kwa soko la hisa ni kitu cha kawaida katika uchumi...
Niko Poa Alhamdulliah Namshukuru Mungu.Uko poa wewe?
Nilikua nakusalimia ndugu, nafurahi kusikia uko poaNiko Poa Alhamdulliah Namshukuru Mungu.
AsanteNilikua nakusalimia ndugu, nafurahi kusikia uko poa
Nasema tena hata ingekuwa yameporomoka kwa asilimia 90 nasema tena kuwa dse si kipimo cha uchumi tanzania.Aisee Rutashobolwa nilitaka kukusema kwa lugha ya Kihaya. Lakini basi tuuu, unatuabisha wahaya unaonyesha ujui chochote katika maesabu wewe ni muhaya usiejua chochote, naishia apo nisije nikapata Bann.
Soko la DSE limeanguka kwa Asilimia 82.14%. Ni kiwango kikubwa sana, labda kwa kuwa ujui maesabu unaona sawa. Ingekuwa mataifa kama Egypt, Nigeria, South Africa, Morocco au Algeria mawazili wengi wangeachia nafasi zao apo. Yaani kwa lugha ya MTU ambaye ajapita shule kabisa yaani uwe na 100 tirioni upate hasara ya tirioni 82.14 alafu useme ni kawaida
Yaani hata kama ni siasa, tumia akili ya kichwa na sio kwa kutumia tumbo
Naishia apo nisipate BANN
Sikweli! kila biashara ina Business plan Yake ''Before you do rather start Any Business you Have to Know The type of Business you are Going to do''Watu huwa wanaongea tayari wana wazo la kibiashara likiwa limeandikwa (Bisiness Plan). That is the communication to fund providors
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
kwa aina ya utawala huu hilo soko halina kazi wasubiri baada ya magufuli kuondoka ndio waanze kufanya biashara.Really? Hayo yametoka moyoni mwako? Wajuwa soko la hisa linaingiza bei gani ya foreign currency. Lazima tuweze pendekeza namna ya kuliokoa soko siyo kusema kwa ushabiki lifungwe. Humu ndani kuna potential leaders they can have your good advice
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Hahahaha, daah inabidi tujipe moyo dadangu maana Hali mbayahahahha acha utani watu wapo serious
Haki ya nani, akili za kuvukia bara bara tu hizi walahi[/QHahahahahhaahahhahahhahahhaahahah
But jamaa communication yake tayari ameonesha kuwa tayari anawazo la biashara na anatafita partnerSikweli kila biashara ina Business plan Yake ''Before you do Any Business you Have to Know The type of Business you are Going to do''
Unaelewa maana ya GDP ?Katika mabadiliko yoyote lazima kuna watakao athirika. Yes we safer lakini jamaa kajitaidi mambo mengi. Kaokoa fedha nyingi sana. Nchi hii ilikuwa imefika mahali pabaya sana. Tulikuwa tunaelekea enzi za Zimbabwe kubeba fedha kwene viroba. Watu tulikuwa hatuzalishi ila hela inapatikana. Mtu akipiga trip mbili tatu kapata hela. Unafikiri huyo mtu utamwambia aende shamba ataenda. Mtu akikwambia naomba hela ya soda, unampa 10,000 sasa nani atazalisha. GDP ya nchi ilikuwa hatarini
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app