CHAMA CHAMA
Member
- Aug 12, 2017
- 77
- 57
Labda kama unataka ufafanuzi wa kina kuhusu GDP nikuelezee
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Labda kama unataka ufafanuzi wa kina kuhusu GDP nikuelezee
Amekuuliza Swali Mkuu hivyo ulipaswa kumjibu tu kama unacho au la ,au hauku muelewa ?
Au hata Alama ya kuuliza hauku iona ?
Aisee umeongea kitu ambacho kama ningekuwa karibu yako siku yako ya Leo ningekujazia mafuta full tankHaya ni mawazo ya akili duni.
Hela chafu huwa inatoka wapi? Hela ya kifisadi huwa inatoka wapi? Kama ufisadi haupo, hela iliyokuwa inatumika kifisadi inaenda wapi?
In normal situation internal money remains constant whether there is corruption or no corruption what changes is who owns the money.
Watanzania nawaonea huruma kwa kuamua kuwa wajinga wa kudumu. Wanasiasa wanawachezea kama wapendavyo. Wakiambiwa kuna ufisadi, wataitikio kibwagizo hicho bila ya kuhoji maswali ya msingi.
Wakiambiwa uchumi unakua, wataitikia hicho kibwagizo kama vile Mungu aliwaumba bila akili. Umaskini wa Watanzania upo zaidi kichwani kuliko sehemu nyingine yoyote.
Wachumi wetu nao wamekuwa Wanasiasa, akitoka upande huu atatetea huku, akitoka upande ule atavutia kule.Wachumi hivi hiyo inakua na athari ipi kwa taifa?..... Au ni just figures tu
Akili ya kiccm
Kazi linayo ila hizo hisa zinazonunuliwa na kuuzwa kwa sasa ni real b4 zilikuwa fake kwa sababu ya utakatishaji wa hela chafuwafunge tu hilo soko halina kazi
Umeongea ukweli ungekuwa karibu yangu Leo bills zote ningelipa mimiAisee umeongea kitu ambacho kama ningekuwa karibu yako siku yako ya Leo ningekujazia mafuta full tank
Tanzania ni taifa lenye wajinga 99% ya wananchi ni wajinga na ndio mtaji wa wanasiasa
Au unataka tukuulize wewe kama wewe ni m. senge? Kuna mswahili yanastahili kijibiwa na mengine kupuuzwa..
I love uCcm mbele kwa mbele hapa kazi tu. Tanzania ya viwanda oyeeee
Sijaona swali lako. Nimeulizwa kama ninakigugumizi ... Sioni sababu la kujibu swali kama hilo? labda uweke hapa swali lako...Nnaona umeshindwa kunielewa au kuelewa nilicho maanisha hapo mwanzo ,barikiwa sana Mkuu .
Kiranja wa malaika huyoKutoka kuinyoosha Nchi na sasa Nchi inamnyoosha yeye..
PhD ya Chemistry hiyo.
AsanteI love u