Soko la fillet ya sangara na bei yako

Soko la fillet ya sangara na bei yako

Fahari

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2014
Posts
1,044
Reaction score
699
Wadau,kwa yeyote anayefahamu ni wapi kwa Dsm wananunua minofu ya sangara(fillet) na bei zikoje kwa kg?
Natanguliza shukrani
 
Mwanza wana nunuaje (bei zake) na wanunuzi ni wakina nani?
 
Chillah,sijui chochote kuhusu bei ya Mwanza wala akina nani wananunua.Mimi natafuta solo la hizo fillets za sangara kwa hapa Dsm.
 
Back
Top Bottom