Habari wadau,
Nina mradi wangu mdogo wa bata, kwa sasa wapo kama 50 ukiweka na watoto, mpango wangu ni kuzalisha mpaka nifikie uwezo wa kuzalisha atleast bata 100 kwa mwezi ndani ya mwaka mmoja, 200-500 ndani ya miaka miwili. kwenye suala uwezo wa bata kuzaliana sina shaka kwani nilianza na majike matano na dume moja miezi saba iliyopita na nina wawili wanalalia kwa sasa.....
Utafiti wangu wa soko inaonekana bata anaweza kuuzwa kati ya sh 15000-25000 kulingana na umbo na wakati, hizi ni bei ambazo nimepata kwa kuuliza kwa wauzaji wadogowadogo masokoni, soko hili kwa bata 10,20,30 hivi linaweza lisisumbue, ishu inakuja kwenye bata 100, 200.etc bado sijapata majibu mazuri kwenye hili...
kwa mwenye uzoefu wa kufunga bata naomba ushauri kwenye soko hasa
1. bei na kama kuna uhitaji wa product tofauti ie mayai, vifaranga etc
2. wateja wakubwa na terms zao
3. changamoto na mengineyo
mimi Nipo Dar, shamba langu lipo Kigambon -Tundwi
Natanguliza shukrani.
Nina mradi wangu mdogo wa bata, kwa sasa wapo kama 50 ukiweka na watoto, mpango wangu ni kuzalisha mpaka nifikie uwezo wa kuzalisha atleast bata 100 kwa mwezi ndani ya mwaka mmoja, 200-500 ndani ya miaka miwili. kwenye suala uwezo wa bata kuzaliana sina shaka kwani nilianza na majike matano na dume moja miezi saba iliyopita na nina wawili wanalalia kwa sasa.....
Utafiti wangu wa soko inaonekana bata anaweza kuuzwa kati ya sh 15000-25000 kulingana na umbo na wakati, hizi ni bei ambazo nimepata kwa kuuliza kwa wauzaji wadogowadogo masokoni, soko hili kwa bata 10,20,30 hivi linaweza lisisumbue, ishu inakuja kwenye bata 100, 200.etc bado sijapata majibu mazuri kwenye hili...
kwa mwenye uzoefu wa kufunga bata naomba ushauri kwenye soko hasa
1. bei na kama kuna uhitaji wa product tofauti ie mayai, vifaranga etc
2. wateja wakubwa na terms zao
3. changamoto na mengineyo
mimi Nipo Dar, shamba langu lipo Kigambon -Tundwi
Natanguliza shukrani.