Tissaphernes
JF-Expert Member
- Mar 27, 2018
- 2,902
- 3,566
Bora akasomee usimamizi was biashara
Mkuu ushirombo huwa Nina ndoto ya kuonana na wewe siku moja live ili niweze pata madini yako yakiwa mabichi kabisa. Ila najipa moyo tu siku moja nitakuona ,cha msingi uzima na as long as tuko kwenye industry moja.Usimdanganye wewe
Sizipendi sana hizi discussion.
Kitu kikubwa duniani ni competency, ukiwa competent; huduma zako zitahitajika tu.
Kuna hii assumption ya "kasome kitu fulani kina pesa sana", hatuwaambii kuwa you need to be good at what you do.
Nenda kapige, education kuwa mwalimu bora wa hesabu, kuna watu watakulipa pesa ya kutosha sana. Najua mwalimu anayelipwa mpaka 50K for 1hr session; na yuko booked everyday kutoka saa 10 jioni mpaka 3 usiku, do the math.
Tuwafunze watu kuwa competence kwanza, career choice inakuja baadae
Biomedical ni engineering mkuu iko Arusha tech tu kwa degree na DIT kwa diploma, Ya DIT ni Biomedical Equipments engineering where as ya Arusha technical college ni Electrical and Biomedical engineering na Products zake ni wahandisi KabisaKwa PCM : WAP na wap
Ohoo.Biomedical ni engineering mkuu iko Arusha tech tu kwa degree na DIT kwa diploma, Ya DIT ni Biomedical Equipments engineering where as ya Arusha technical college ni Electrical and Biomedical engineering na Products zake ni wahandisi Kabisa
Safi umemuuleza ukweliNakujibu kwa mara ya mwisho.
Lengo kuu la akitekcha katika Tanzania yetu ni kuchora TU, sasa jiulize mtaanai wanachora wangapi? Civil anachora, QS anachora, Env. Eng anachora, Fundi mwashi aliesoma na asie soma veta wanachora pia,
kupata project kubwa kwa hawa watalamu wetu ni mara chache sana na ukipata dili utapewa 5M hapo ndio pesaa kubwa, ila watz wengi ni residential house, huwezi amini hizo wanachora mpak 100,000
zingine zooooote zilizobaki zinaingiliana mfn estate offficer, Construction Manager, clerk of work, project Manager etc.
Civil, Qs ukimaliza shule unaweza hata kwenda kwa mkandarasi ukapoteza muda utalipwa, akitect utaenda kufanya nini??
mwambie dogo asizuzuke na picha na tambo za hao jamaa wakiwa chuo, kitaani ni balaa lingnie
kama anataka ardhi bas akasome BUILDING ECONOMICS