Soko kuu la dhahabu lazinduliwa Chato

fazili

JF-Expert Member
Jun 10, 2011
13,802
18,527
1577473760098.png


Wizara ya madini nchini Tanzania, Doto Biteko amezindua soko kuu la dhahabu wilaya ya Chato mkoani Geita huku akitoa maagizo kwa ofisi ya madini mkoani Geita kutoa leseni za uchenjuaji kwa wafanyabiashara wa madini zaidi ya 300 wenye mitambo ya kuchenjua dhahabu mkoani humo.
 
Back
Top Bottom