halikela82
Senior Member
- May 14, 2013
- 187
- 18
Nimekuwa nafatilia x nyingi mpira wa kibongo kwa umri wangu nashindwa kung'amua jambo1 hivi mpira wetu unapanda umeshawahi kupanda au tuko kwenye line ipi tusaidiane ktk hili wadau wa kandanda letu nawasilisha.