Zombie S2KIZZY
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 823
- 1,613
Soka la bongo halitaendelea kamwe kwasababu ya ubovu wake kuanzia kwny timu zake unafiku uzandiki ushamba
Hivi hizi simba na yanga n timu za Kenya na Tanzania au? maana ushabiki unazidi Sasa si ajabu jumapili umuone mwana simba anawashabikia rivers hadharan kwa mkapa wampige yanga hii hata watu walioko nje wanaona akili hamna
Yaan uwanja wenu taifa lenu alafu mnakaa kuwashabikia wageni hivi kwa mtindo huu soka la bongo litafika kwel au ndy tutakua tunaishia robo !
Chakushangaza hadi kwenye timu ya taifa napo usimba na uyanga umeshamiri daaah huu ni ujinga pro max
Mtu na domo lake refu hata halijaswaki unalikuta Bora simba imetolewa Asante wydad mnyama ungempiga hata nane
Sasa bi ashura na Hilo domo lako em nikuulze hvi simba niyawapi si ni Tanzania
Sasa wakipigwa nane huko ugenini aibu kwa nani si ni kwa watanzania wote mnaaibika
Hiv hamjiuliz mbona hamjawaona mashabiki wa raja kwenye mechi ya wydad na simba kwamba wawashabikie simba alafu wawaponde wydad kisa tu ni wapinzan wao ?
Na pia hizi mentality za kwamba tukienda kucheza na waarabu lazima watufunge mbn sisi hatuwazag kuwafunga si tunawaza kushindwa tu huu ni ujinga na soka letu halitafika kwny hatua kubwa kama wenzetu
Wenzetu Wamorocco timu zao zimeshatinga nusu fainali ya klab bingwa
Sisi Sasa kuingiza timu zetu robo klab bingwa na shirikisho tunatambiaaana hivi kwann hizo nguvu za kutambiana na kuombeana mabaya tusiwe tunawaombea wapinzani wetu ambao tunakutana nao kwenye ligi za nje tubaki tu kutambiana kwny premier yetu tu ?
Kwa mtindo huu tulionao tutabaki tu kuchambana wakati huo tukishuhudia wenzetu wakipeana zamu ya kunyanyua mikono juu msimu huu mamelodi msimu ujao raja unaokuja wydad unaokuja mwngne na mwngne sisi tutabaki tu kushindana kutoa Jezi mpya Kila mwezi .
Shhhiieeeet
Hivi hizi simba na yanga n timu za Kenya na Tanzania au? maana ushabiki unazidi Sasa si ajabu jumapili umuone mwana simba anawashabikia rivers hadharan kwa mkapa wampige yanga hii hata watu walioko nje wanaona akili hamna
Yaan uwanja wenu taifa lenu alafu mnakaa kuwashabikia wageni hivi kwa mtindo huu soka la bongo litafika kwel au ndy tutakua tunaishia robo !
Chakushangaza hadi kwenye timu ya taifa napo usimba na uyanga umeshamiri daaah huu ni ujinga pro max
Mtu na domo lake refu hata halijaswaki unalikuta Bora simba imetolewa Asante wydad mnyama ungempiga hata nane
Sasa bi ashura na Hilo domo lako em nikuulze hvi simba niyawapi si ni Tanzania
Sasa wakipigwa nane huko ugenini aibu kwa nani si ni kwa watanzania wote mnaaibika
Hiv hamjiuliz mbona hamjawaona mashabiki wa raja kwenye mechi ya wydad na simba kwamba wawashabikie simba alafu wawaponde wydad kisa tu ni wapinzan wao ?
Na pia hizi mentality za kwamba tukienda kucheza na waarabu lazima watufunge mbn sisi hatuwazag kuwafunga si tunawaza kushindwa tu huu ni ujinga na soka letu halitafika kwny hatua kubwa kama wenzetu
Wenzetu Wamorocco timu zao zimeshatinga nusu fainali ya klab bingwa
Sisi Sasa kuingiza timu zetu robo klab bingwa na shirikisho tunatambiaaana hivi kwann hizo nguvu za kutambiana na kuombeana mabaya tusiwe tunawaombea wapinzani wetu ambao tunakutana nao kwenye ligi za nje tubaki tu kutambiana kwny premier yetu tu ?
Kwa mtindo huu tulionao tutabaki tu kuchambana wakati huo tukishuhudia wenzetu wakipeana zamu ya kunyanyua mikono juu msimu huu mamelodi msimu ujao raja unaokuja wydad unaokuja mwngne na mwngne sisi tutabaki tu kushindana kutoa Jezi mpya Kila mwezi .
Shhhiieeeet